ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 268
Hivi jamani hawa Watawala na vishoka vyao kama akina Lusinde, Mwigulu, Nape, Komba, Makinda, Lukuvi, Lazaro, Sita, Ndugai, Chenge, Ndullu na wengineo wazungu worshippers! Mnajua kwamba Corporations/Wawekezaji/Wahisani/Wafadhili/Wadhamini of whatever names do strip our natural resources leaving behind trails of environmental devastation. Sadly enough, this is done through our own poor legal frameworks.
Something is fundamentally wrong with CCM Government...ujinga ujinga mwingi, upuuzi upuuzi mwingi, Ufisadi katika kila pumzi zitokazo ktk matundu yao... madini yanakweda, maliasili yanaondoka, wame temper kwenye sekta ya umeme, wameuza viwanda, mashamba wameua na sasa wameamua kuwapa ardhi yetu hawa waungu untouchable wezi wanaoitwa wawekezaji... silly CCM..
Sioni future ya Tanzania Jamani... Nini kifanyike wadau? bajeti yenye manufaa kwa mabwana zao itapita tuu yenye misamaha ya kodi kama kawaida huku Taifa litazidi kuangamia...
Something is fundamentally wrong with CCM Government...ujinga ujinga mwingi, upuuzi upuuzi mwingi, Ufisadi katika kila pumzi zitokazo ktk matundu yao... madini yanakweda, maliasili yanaondoka, wame temper kwenye sekta ya umeme, wameuza viwanda, mashamba wameua na sasa wameamua kuwapa ardhi yetu hawa waungu untouchable wezi wanaoitwa wawekezaji... silly CCM..
Sioni future ya Tanzania Jamani... Nini kifanyike wadau? bajeti yenye manufaa kwa mabwana zao itapita tuu yenye misamaha ya kodi kama kawaida huku Taifa litazidi kuangamia...