Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Nimesoma mara kwa mara vitabu vya Prof Issa G. Shivji akiandika kwenye vitabu vyake mbalimbali kwamba Hati za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ziko juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, kwa maana kwamba haziwezi kubadilishwa kwa namna yoyote ile, kama Katiba inavyobadilishwa!
1. Je, wewe ukiwa mwanasheria una maoni gani juu ya hili?
2. Kama ziko juu ya Katiba, ni kwa namna gani Kisheria?
3. Na kama haziko juu ya Katiba, pia ni kwa namna gani Kisheria?
4. Hati hizo zina status gani hasa ukilinganisha na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 au Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984?
5. Je, kuna kitu kiitwacho Basic Structure of the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977, as amended from time to time?
Tafadhali naomba maoni yako yaliyo na sababu za msingi, then tujadili!
1. Je, wewe ukiwa mwanasheria una maoni gani juu ya hili?
2. Kama ziko juu ya Katiba, ni kwa namna gani Kisheria?
3. Na kama haziko juu ya Katiba, pia ni kwa namna gani Kisheria?
4. Hati hizo zina status gani hasa ukilinganisha na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 au Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984?
5. Je, kuna kitu kiitwacho Basic Structure of the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977, as amended from time to time?
Tafadhali naomba maoni yako yaliyo na sababu za msingi, then tujadili!