Je hapa Kikwete alipewa cheki ya dola ngapi? Laki mbili au tatu?
View attachment 20210
God knows how boghas this guy is.
Holder wa PhD 3, anavyochezewa kama mwanasesere. Maneno ni 'two hundred thousand' na tarakimu ni '300,000'. Ndiyo maana alikimbilia siasa akajifiche huko kimyaaaaaa!! Anaziogopa hesabu kama ukoma! Huo ni mfano mmoja tu kati ya incidences nyingi anazodanganywa waziwazi.
Wako wapi wale wahariri kilongola wa Habari Leo na Uhuru watuwekee front page news heading ya baba yao??
Tuwe Fair Kidogo kwa Kikwete. If asked ningesema hili sio kosa Lake. I stand to be corrected!!
Hivi unapokaribishwa "Kama Rais" kwenda kupokea zawadi au kutoa zawadi - hii "dummy cheque" si ni lazima ipitiwe na "wasaidizi" wake hili kuhakikisha kuwa hakuna "misleading" details na yatokanayo?
Je hapa Kikwete alipewa cheki ya dola ngapi? Laki mbili au tatu?
View attachment 20210
God knows how boghas this guy is.
Ndugu yangu Said Kubenea tafadhali tena tafadhali sana tuwekee picha hiyo kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la MwanaHALISI ili watanzania wengi wamwone rais wao mpendwa alivyo kilaza.
Tuwe Fair Kidogo kwa Kikwete. If asked ningesema hili sio kosa Lake. I stand to be corrected!!
Je hapa Kikwete alipewa cheki ya dola ngapi? Laki mbili au tatu?
View attachment 20210
God knows how boghas this guy is.
Je hapa Kikwete alipewa cheki ya dola ngapi? Laki mbili au tatu?
View attachment 20210
God knows how boghas this guy is.