Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Kwa kweli kuna mwamko na hamasa kubwa baada ya ujio wa Dr Slaa.Kwa sie tulio mbali na huko nyumbani kipimo kidogo ni comments katika tovuti za magazeti na nyinginezo.Binafsi nimekuwa nikifuatilia comments katika tovuti ya Mwananchi,ambapo yayumkinika kuhitimisha kuwa zaidi ya asilimia 90 ni watu waliochoshwa na usanii wa Kikwete na CCM yake,huku wengine wakimwona Dkt Slaa kama ufumbuzi wa matatizo ya Tanzania.
Sina hakika kuhusu hali ilivyo mitaani,vijiweni,maofisini,nk.Iwapo huko nako ni kama ilivyo mtandaoni basi yaliyotokea kw a KANU yanaweza kuikumba CCM mwaka huu.
Kama kuna mwana-JF anayeweza kutupa independent,objective assessment ya mahala alipo basi tunaweza ku-project ushindi matokeo kabla ya kura.Hii ni muhimu kwani huwatia uoga wezi wa kura.Na inaweza kuwa ndio sababu ya Redet kufyata mkia huku Synovate wakikwepa kumtaja nani anaongoza kura za maoni hadi sasa.
Sina hakika kuhusu hali ilivyo mitaani,vijiweni,maofisini,nk.Iwapo huko nako ni kama ilivyo mtandaoni basi yaliyotokea kw a KANU yanaweza kuikumba CCM mwaka huu.
Kama kuna mwana-JF anayeweza kutupa independent,objective assessment ya mahala alipo basi tunaweza ku-project ushindi matokeo kabla ya kura.Hii ni muhimu kwani huwatia uoga wezi wa kura.Na inaweza kuwa ndio sababu ya Redet kufyata mkia huku Synovate wakikwepa kumtaja nani anaongoza kura za maoni hadi sasa.