Je, Hali ya Kisiasa Tz miaka 2 ijayo itakuwaje?

Sn2139

JF-Expert Member
Apr 9, 2010
834
250
Ndugu wana JF, salaam aleikum ...

Leo nimejiuliza swali nikaona niwashirikishe na wengine ili nipatae msaada. Kuna mfululizo wa matukio yamekuwa yakitokea nchini mwetu na kuzifanya siasa za nchi kuwa mpya, kutisha na kuvunja moyo. Je nani anaweza kutoa forecast ya siasa za Tz miaka miwili ijayo? Tukizingatia matukio yafuatayo.

  1. Nyerere anang'atuka kuongoza nchi
  2. Alhaji A. H. Mwinyi anakuwa raisi wa JMT
  3. Katibu Mkuu wa Chama Marehem Kolimba anataka Katiba ya Nchi irekebishwe ili kuruhu rais kutawala zaidi ya vipindi viwili
  4. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi anakamata madini ya thamani yakitoroshwa nchini kupitia AirPort
  5. Mh BW Mkapa anakuwa Rais wa JMT
  6. Mwl JK Nyerere anafariki dunia katika hospital ya St Thomas huko Uingereza
  7. NBC inabinafsishwa
  8. Mashirika ya umma yanauzwa kama ni amri kutoka mbinguni Kiwira,
  9. Nyumba za serikali zinauzwa kwa namna isiyokubalika....
  10. Polisi inaua raia 23 huko Pemba
  11. Tanzania yazalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza, wengine Somalia na wengine Mombasa na Uingereza
  12. Mh JM Kikwete anachaguliwa kuwa rais wa JMT kwa kishindo
  13. Ufisadi wa kutisha EPA wabainika
  14. Richmond, Dowans, IPTL
  15. Idadi ya wapiga kura yashuka kwa mara ya kwanza kutoka wastani wa 78% hadi 42% ?
  16. Rais wa nchi aanguka hadharani mara tatu !!!!
  17. NEC yatumika kuchakachua kura
  18. Nchi nzima yagubikwa na vuguvugu la kulalamikia uhalali wa matokeo ya wabunge, Mwz, Shy, Morogoro, Dsm, Mby nk
  19. Uchaguzi wa Meya wa Arusha, Mwz, Kigoma nk utata
  20. TANESCO yaamuriwa na ICC kulipa DOWANS Bilioni 185 na Serikali yasema ni Bilioni 95
  21. Waziri wa serikali aishauri serikali yake isilipe pesa hizo, Mwanasheria mkuu wa Serikali asema serikali lazima ilipe. Waziri wa nishati anasema serikali inajiandaa kulipa haraka pesa hiyo. Waziri wa Pesa anasema serikali haina pesa.
  22. Bei ya umeme yapanda huku mgao ukiongezeka....
  23. Polisi yakataza mikutano ya CDM nchi nzima
  24. Polisi yaruhusu maandamano na mkutano wa CDM huko Arusha lakini IGP aibuka ghafla na kuzuia maandamano kwa tangazo kupitia TV na Radio
  25. Polisi yaua raia waliokuwa wakitembea kwa amani kuelekea kwenye mkutano
  26. Serikali yaomba kukutana na CDM wazungumze, CDM yakataa
  27. ....
Kwa kutumia matukio hayo machache tunawezaje ku-forecast hali ya kisiasa ya nchi yetu miaka miwili inayokuja?
 
Ndugu wana JF, salaam aleikum ...

Leo nimejiuliza swali nikaona niwashirikishe na wengine ili nipatae msaada. Kuna mfululizo wa matukio yamekuwa yakitokea nchini mwetu na kuzifanya siasa za nchi kuwa mpya, kutisha na kuvunja moyo. Je nani anaweza kutoa forecast ya siasa za Tz miaka miwili ijayo? Tukizingatia matukio yafuatayo.

  1. Nyerere anang'atuka kuongoza nchi
  2. Alhaji A. H. Mwinyi anakuwa raisi wa JMT
  3. Katibu Mkuu wa Chama Marehem Kolimba anataka Katiba ya Nchi irekebishwe ili kuruhu rais kutawala zaidi ya vipindi viwili
  4. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi anakamata madini ya thamani yakitoroshwa nchini kupitia AirPort
  5. Mh BW Mkapa anakuwa Rais wa JMT
  6. Mwl JK Nyerere anafariki dunia katika hospital ya St Thomas huko Uingereza
  7. NBC inabinafsishwa
  8. Mashirika ya umma yanauzwa kama ni amri kutoka mbinguni Kiwira,
  9. Nyumba za serikali zinauzwa kwa namna isiyokubalika....
  10. Polisi inaua raia 23 huko Pemba
  11. Tanzania yazalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza, wengine Somalia na wengine Mombasa na Uingereza
  12. Mh JM Kikwete anachaguliwa kuwa rais wa JMT kwa kishindo
  13. Ufisadi wa kutisha EPA wabainika
  14. Richmond, Dowans, IPTL
  15. Idadi ya wapiga kura yashuka kwa mara ya kwanza kutoka wastani wa 78% hadi 42% ?
  16. Rais wa nchi aanguka hadharani mara tatu !!!!
  17. NEC yatumika kuchakachua kura
  18. Nchi nzima yagubikwa na vuguvugu la kulalamikia uhalali wa matokeo ya wabunge, Mwz, Shy, Morogoro, Dsm, Mby nk
  19. Uchaguzi wa Meya wa Arusha, Mwz, Kigoma nk utata
  20. TANESCO yaamuriwa na ICC kulipa DOWANS Bilioni 185 na Serikali yasema ni Bilioni 95
  21. Waziri wa serikali aishauri serikali yake isilipe pesa hizo, Mwanasheria mkuu wa Serikali asema serikali lazima ilipe. Waziri wa nishati anasema serikali inajiandaa kulipa haraka pesa hiyo. Waziri wa Pesa anasema serikali haina pesa.
  22. Bei ya umeme yapanda huku mgao ukiongezeka....
  23. Polisi yakataza mikutano ya CDM nchi nzima
  24. Polisi yaruhusu maandamano na mkutano wa CDM huko Arusha lakini IGP aibuka ghafla na kuzuia maandamano kwa tangazo kupitia TV na Radio
  25. Polisi yaua raia waliokuwa wakitembea kwa amani kuelekea kwenye mkutano
  26. Serikali yaomba kukutana na CDM wazungumze, CDM yakataa
  27. ....
Kwa kutumia matukio hayo machache tunawezaje ku-forecast hali ya kisiasa ya nchi yetu miaka miwili inayokuja?


jk atakuwa amejiuzulu
 
Inasikitisha kuwa negative events rapidly accumulate than the few positive ones..if this trend continue for two more years nchi inaweza kugawanyika. Hii ni tatizo kubwa la kukosekana kwa uongozi wenye vision, uadilifu na uzalendo.
 
Back
Top Bottom