Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Mkuu tafuta kitambaa cha Kaki jishonee mwenyewe au muone PakaJimmy
Huwa sikuelewi siku nyingine. Mara uwe na akili nzuri mara uwe chizi. Leo poa.
Mkuu tafuta kitambaa cha Kaki jishonee mwenyewe au muone PakaJimmy
Mkuu! heshima kwako. Ni kweli wengi tunalihitaji.Naomba msaada ndugu zangu je kuna mahali popote wanauza gwanda za chadema au ukitaka unajishonea tu mwenyewe???nataka niwe member kamili maana ntajickia furaha sana kama nkipita road nimezivaa, au ni za viongozi tuu??
Mkuu tafuta kitambaa cha Kaki jishonee mwenyewe au muone PakaJimmy
Mwana hapa bukoba zinashonwa Tsh 40,000/=
Kwa wale wajasiriamali dili hilo. Kwa sasa ukivaa unaokena borntown hata laki utaauza
Kuna kitu kimoja tu ambacho makamanda hawanifurahishi. Hivi kwa nini hawavai zile za mabaka mabaka? Manake hizi khaki wanakuwa kama mgambo vile! Zile nyeusi wanakuwa kama security guard flan hivi. Nawashauri watinge zile za mabakamabaka au mnaonaje?
Hapo kwenye red pamenifurahisha sana huna wasiwasi Comrade we si msafi bwana unakatiza kifua mbele vaa jembe na nyundo uone kama hujatiririsha ka mwizi vile
kama upo dar nenda makao makuu ya CDM zinapatikana
Saa nyingine akili zako hua ni full masaburi
Mjibu muuliza swali hapo juu then swali lako uliza baadae siyo kila kitu unaleta ujuha
Mjibu muuliza swali hapo juu then swali lako uliza baadae siyo kila kitu unaleta ujuha
Namba za fundi ni hizi; 0715 206047 na 0754 206047... Hapo ndo wanaposhona wabunge wote na viongozi wa taifa wa chademaNaomba msaada ndugu zangu je kuna mahali popote wanauza gwanda za chadema au ukitaka unajishonea tu mwenyewe???nataka niwe member kamili maana ntajickia furaha sana kama nkipita road nimezivaa, au ni za viongozi tuu??
Dodoma wapi?
Naomba msaada ndugu zangu je kuna mahali popote wanauza gwanda za chadema au ukitaka unajishonea tu mwenyewe???nataka niwe member kamili maana ntajickia furaha sana kama nkipita road nimezivaa, au ni za viongozi tuu??