Je Gaddafi hakuwahi kuwatendea mabaya walibya?

Watu waote wanaoshabikia gadafi kuuwawa nadhani hawajui nini kinaendelea!gadafi ni mtu kama wewe, he was not perfect, hakuna raisi ambaye hajaua, na katika ukombozi na harakati zake lazima watu wafe hiyo ipo given, sacrife must be there bandugu, tunachojaribu kuangalia ni je, nato nia yao ni nini?kwa nini ni benghazi na sio serte,na je ni libya tu waliona kuna shida?kwanini ni ukanda wa watu wenye mambo sawa kimfanano?kwanini somalia hawaendi?kwa nini israel na parestina, je yanayotokea yemen hawayaoni??kwanini sadam alishukiwa kuwa na siraha za maangamizi na hawakuziona??je marekani wameua wangapi kuanzia afghanistan, iraq, kongo,sudan, namibia,hata misri wapo nyuma ya hawa vibaraka waliopandikizwa mbegu za chuki??marekani sio watu, uingereza sio haki!msimamo wa gadafi kukataa kuingia mkataba nao kuchimba mafuta, kukataa unyonyaji kwenye mikataba nchini kwake, kuonekana kuwa na nguvu sana barani afrika na kuwa na nia ya kutuunganisha waliona tutakuwa na nguvu ya maamuzi yetu,sio walibya wote wanaompinga gadafi ni kijisehem cha vibaraka wa magharibi! Na hii ni somalia mpya imetengenezwa afrika lengo ni kuona sisi sio wamoja ili wachume mali zetu zote!je watoto wetu wataishi vipi kama hali ndo hii??utumwa unarudi polepole watu wasio na maono wanashangalia kuuawawa kinyama kwa gadafi!ipo siku magahribi watajutia tabia zao ambazo tushazijua na libya watamkumbuka sana gadafi, kwanza walipe deni la nato alafu tuanzie hapo ndani ya mwaka utaona!mungu katupa akili tupamnanue mambo na sio kuchukulia mambo kijuujuu!!!!!!!!!!!!!!!USITEGEMEE UTASOMA AU KUANGALIA TV ZA MAGHARIBI KAMA CNN,BBC NA ZINGINE UONE MAZURI YA GADAFI!!!!!!!!!! MARA MIA MUNGU AKUPE AKILI KULIKO SURA!!!!!

Yote hayo ni kweli! lakini pia kuna ukweli mwingine kwamba kisasi ni haki! jinsi alivyo waotea wapinzani wake na kuwaua njia panda! hicho nacho amestahili naye kufa! uelewe kwamba kuna walibya walikuwa hawali wala kunywa kumuomba Allah gadafi afe! na wengine kumuomba Mungu Gadafi aendelee kudumu! Mungu amepokea maombi ya waliotaka Gadafi afe. Ndiposa walie nini? wanashangilia kwamba, Allahu Akbaru........Asante Allah!
 
watoto wake walikuwa na nyodo sana.
ole wao wanaotumia rasilimali za nchi kwa manufaa yao na familia zao.
 
3 Comments 1 Like
Muammar Abu Minyar al-Gaddafi.
1. There is *no electricity bill* in Libya; electricity is free for all its citizens.
2. There is *no interest on loans*, banks in Libya are state-owned and loans given to all its citizens at 0% interest by law.
3. *Home* considered a human right in Libya – Gaddafi vowed that his parents would not get a house until everyone in Libya had a home. Gaddafi’s father has died while him, his wife and his mother are still living in a tent.
4. All newlyweds in Libya receive *$60,000 Dinar* (US$50,000) by the government to buy their first apartment so to help start up the family.
5.…http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/amazing-facts-about-gaddafi
Muammar Abu Minyar al-Gaddafi.
1. There is *no electricity bill* in Libya; electricity is free for all its citizens.
2. There is *no interest on loans*, banks in Libya are state-owned and loans given to all its citizens at 0% interest by law.
3. *Home* considered a human right in Libya – Gaddafi vowed that his parents would not get a house until everyone in Libya had a home. Gaddafi’s father has died while him, his wife and his mother are still living in a tent.
4. All newlyweds in Libya receive *$60,000 Dinar* (US$50,000) by the government to buy their first apartment so to help start up the family.
5. Education and medical treatments are free in Libya. Before Gaddafi only 25% of Libyans are literate. Today the figure is 83%.
6. Should Libyans want to take up *farming* career, they would receive farming land, a farming house, equipments, seeds and livestock to kick-start their farms – all for free.
7. If Libyans cannot find the education or medical facilities they need in Libya, the government funds them to *go abroad* for it – not only free but they get US$2,300/mth accommodation and car allowance.
8. In Libyan, if a Libyan buys a *car*, the government subsidized 50% of the price.
9. The price of *petrol* in Libya is $0.14 per liter.
10. Libya has *no external debt* and its reserves amount to $150 billion – now frozen globally.
11. If a Libyan is unable to get *employment* after graduation the state would pay the average salary of the profession as if he or she is employed until employment is found.
12. A portion of Libyan *oil sale* is, credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens.
13. A mother who *gave birth* to a child receive US$5,000
14. 40 loaves of *bread* in Libya costs $ 0.15
15. 25% of Libyans have a *university degree*
16. Gaddafi carried out the world’s largest *irrigation* project, known as the Great Man-Made River project, to make water readily available throughout the desert country.

Which other dictator has done much good to his people besides.

*P.S. If this is the dictator Gaddafi is, then give us one like him here in Bolehland
 
Hata mobutu ni shujaa kama gadafi ni shujaa halafu mandela ni fisadi mwizi dicteta na gaidi.
 
Kama haya yote ni ya kweli, basi Wa-Libya wasubiri kulia na kusaga meno wakati mafuta yao yatakapoanzwa kufisadiwa.
 
Na kwanini nifurahishwe na kifo cha Gadafi?

Gadafi amesha ishambulia Tanzania mwaka 1979 kwa kushirikiana na Id amini...
yuho huyo amejenga msikiti Dodoma....
 
Na kwanini nifurahishwe na kifo cha Gadafi?

Gadafi amesha ishambulia Tanzania mwaka 1979 kwa kushirikiana na Id amini...
yuho huyo amejenga msikiti Dodoma....
Mwarabu sisikitiki mie!!!angekuwa matumbi mwenzangu angalau!
 
nasikitika kwa sababu mwenye kuichukua pumzi ya mtu ni Mungu tu na wala si vingine
 
Na kwanini nifurahishwe na kifo cha Gadafi?

Gadafi amesha ishambulia Tanzania mwaka 1979 kwa kushirikiana na Id amini...
yuho huyo amejenga msikiti Dodoma....
Kujenga msikiti siyo taabu, kwani hao waislamu wakifundishwa msikitini kuwa kuiba ni zambi inasaidia kuleta amani na upendo, tatizo ni kuwadharau wakristu!
 
Gaddafi alishindwa kuunganisha nchi ya watu millioni 6 tuu akataka kuunganisha Afrika? Ukabila ulitawala sana Libya labda hayo mnayoyasema mengi yalikuwa kwa kabila lake. Haiwezekani watu wachukue silaha na kumtafuta kama nyoka hata kama walisaidiwa , tafuteni habari za upande wa pili sio kukurupuka tuu kuwa maisha ya Libya yatakuwa hivi au vile.
 
Gaddafi alishindwa kuunganisha nchi ya watu millioni 6 tuu akataka kuunganisha Afrika? Ukabila ulitawala sana Libya labda hayo mnayoyasema mengi yalikuwa kwa kabila lake. Haiwezekani watu wachukue silaha na kumtafuta kama nyoka hata kama walisaidiwa , tafuteni habari za upande wa pili sio kukurupuka tuu kuwa maisha ya Libya yatakuwa hivi au vile.


kama wewe unazijua kwa nini usiziweke hapa?
huoni wewe ndo unakurupuka??
 
Back
Top Bottom