chishango
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 852
- 350
Kuna dogo mmoja Songea ni katapeli flani kanajiita AMANI YUSUPH MAKAMBA kana dili za kulaghai wafanyabiashara kwa kutumia jina la baba yake kanaishi kwa mmama 1 anafanya kazi baraza la ardhi kalishawahi kufungwa masasi kwa utapeli.inaonekana alikazalia huko kusiniMakamba ana watoto wengi sana. Hao ni wa mama mmoja wa familia bora, wengine wako tanga walimu, mateja na wengine wametoswa......... Waafrika ni kwamba watoto wa mama uliye naye ndio wanaotambulika. Wengine wote ni machokoraa