JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..naomba msaada wa wanasheria hapa wenye uelewa wa kesi ya madai ya familia ya Lt.Gen.Imran Kombe.
..hivi Daudi Mwangosi hakuuwawa katika mazingira yanayofanana-fanana na mauaji ya Imran Kombe??
..Mwangosi amekufa kutokana na uzembe na ukatili wa askari polisi, sioni kwanini familia yake wasifungue shauri dhidi ya Polisi na Jamhuri.
..nawasilisha.
..hivi Daudi Mwangosi hakuuwawa katika mazingira yanayofanana-fanana na mauaji ya Imran Kombe??
..Mwangosi amekufa kutokana na uzembe na ukatili wa askari polisi, sioni kwanini familia yake wasifungue shauri dhidi ya Polisi na Jamhuri.
..nawasilisha.