zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Hayo mabilioni yanayochukuliwa mbele za macho ya jk na kuendelea kuwateua wengine ambao bado wana kashfa za ufisadi kwenye baraza la mawaziri ndio sifa a kuendelea kuwa raisi?
Mabilioni yalichukuliwa wakati wa borther ben, lakini nayo yako jikoni, "tunayashughulikia" na hayo usemayo yanayochukuliwa wakati wa JK , nadhani wewe mwenyewe ni shahidi wa action zilizopo. Uchunguzi wa BoT ulifanywa na serikali anayoongoza nani? Na kamati ya hilo saga infanywa na serikali inayoongozwa na nani, kamati ya Mwakyembe..., Kamati ya Buzwagi... "Action speaks louder than words".