fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Naomba ufikirie kama elimu yako imekusaidia na zaidi elimu ya siasa kama imetoa tija/gawio kwa taifa.
Elimu ya Mzungu kwa manufaa ya mzungu au na wadandiaji tumo? ninakufundisha kupikia gesi sio ili kazi yako ipungue ktk kupikia kuni bali ili unipikie vizuri, ni mfano tu, Nakufundisha kiingereza sio ili uende kuishi uingereza, nooo ni uweze kusaini mikataba feki, niweze kukutuma kwa kiingereza kwenda kuniwakilisha kwenye mikutano ambayo ninahujumu maslahi ya wengi wa nasaba yako etc
Utamaduni wa Kizungu kwa manufaa ya mzungu au na wadandiaji tumo?
Fedha za Mzungu kwa manufaa ya mzungu au na wadandiaji tumo? bila fedha ufisadi ungekuwepo??? kiwango gani?
Saa ya Mzungu kwa manufaa ya mzungu au na wadandiaji tumo? Nani alibuni Sekunde, Dakika, Saa, Siku? kwa manufaa ya nani?? Luch time saa 7 mchana, hadi serikali imechuka hilo je tulitafiti vya kutosha???
Uchumi huria ni lazima kwanza uwe holela. ni lazima. harafu nakudanyanga eti kuna regulatory authority, nani anaiunda kwa masilahi ya nani??? mafuta bila EWURA bei ilikuwa chini sana, walipoanza kupanga bei imeng'ang'ania 2250TZ wakati ilikuwa 1250TZS!!!!!! say hata kwa sasa ingekuwa 1500TZs
Sio kila kitu kilichorahisisha mambo ni kwa faida ya UMMA, angalia tena sio kila kitendea kazi ni cha manufaa.
Samahani nipe maoni yako.
Elimu ya Mzungu kwa manufaa ya mzungu au na wadandiaji tumo? ninakufundisha kupikia gesi sio ili kazi yako ipungue ktk kupikia kuni bali ili unipikie vizuri, ni mfano tu, Nakufundisha kiingereza sio ili uende kuishi uingereza, nooo ni uweze kusaini mikataba feki, niweze kukutuma kwa kiingereza kwenda kuniwakilisha kwenye mikutano ambayo ninahujumu maslahi ya wengi wa nasaba yako etc
Utamaduni wa Kizungu kwa manufaa ya mzungu au na wadandiaji tumo?
Fedha za Mzungu kwa manufaa ya mzungu au na wadandiaji tumo? bila fedha ufisadi ungekuwepo??? kiwango gani?
Saa ya Mzungu kwa manufaa ya mzungu au na wadandiaji tumo? Nani alibuni Sekunde, Dakika, Saa, Siku? kwa manufaa ya nani?? Luch time saa 7 mchana, hadi serikali imechuka hilo je tulitafiti vya kutosha???
Uchumi huria ni lazima kwanza uwe holela. ni lazima. harafu nakudanyanga eti kuna regulatory authority, nani anaiunda kwa masilahi ya nani??? mafuta bila EWURA bei ilikuwa chini sana, walipoanza kupanga bei imeng'ang'ania 2250TZ wakati ilikuwa 1250TZS!!!!!! say hata kwa sasa ingekuwa 1500TZs
Sio kila kitu kilichorahisisha mambo ni kwa faida ya UMMA, angalia tena sio kila kitendea kazi ni cha manufaa.
Samahani nipe maoni yako.