mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Wengi wamestushwa na madai ya Dk Harrison Mwakyembekuwa anaugua ugonjwa wa ngozi. Amezidi kuwachanganya watu zaidi kwa kummwagiasifa rais Jakaya Kikwete huku akijigonga kuhusu kueleza nini mawazo yake juu yauchunguzi wa polisi. Je kwanini Mwakyembe amepiga U-turn? Je namna hiiwanasiasa wetu ni wa kuamini tena? Yale yale ya "kama Lowassa atatakatufichue tuliyoacha aseme," Je kwa ukinyonga kama huu kuna tofauti bainayake na mafisadi wa kawaida? Akizidiwa aanze tena kulalamikia kupewa sumu? Naniatamdanganya tena hadi amsikilize?