white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,277
- 13,212
katika hali inayozidi kuibua maswali mengi,waziri wa afya amesema ripoti ambayo dci manumba alitumia kusema kuwa dr.mwakyembe hakulishwa sumu,bali ni ugonjwa wa ngozi hawaitambui!kwani ripoti ambayo ilitoka ktk hospitali ya Apolo anayo mwenyewe dr.mwakyembe na wala wizara ya afya hawana!!nadhani hawa wameshaona maji yamewafika shingoni wanataka kupotosha umma,mbona kipindi kile wanaambiwa watoe ripoti hadharani hawakuwahi kusema hawana ripoti hiyo? Na dci manumba aseme ripoti aliyo2mia aliitoa wapi?na mbona samweli sita anazidi kusisitiza kuwa dr.mwakyembe alilishwa sumu!na kazi ya polisi ni kutafuta ushahidi sio kupelekewa,mahakamani ndio sehemu ya mtu kutoa ushahidi.kama ni hivyo kwanini wasimkamate sita? Kwa dhambi hii tusubili mengi hadi ukweli utabainika tu,nyie jichanganyeni tu.mungu ni mkubwa,na nyie jeshi la polisi mtaacha ku2mika kisiasa lini?njaa zitawaua.