Namnukuu Mbowe " sisi Chadema ni kama Barcelona tunapanda kushabulia wote, tunapiga kiungo cha kati na tunarudi kulinda goli kwa Pamoja".
Najiuliza msemo huu utaendelea kutumika kwa sasa au umepitwa na wakati? maajabu chelsea iliyo majeruhi kama CCM kuishinda barcelona na kuitupa nje.
Poleni sana Barcelona wa Kibongo sasa turudini kujadili siasa zetu zinazovuma kama upepo wa kusi na jangwa la sahara
Najiuliza msemo huu utaendelea kutumika kwa sasa au umepitwa na wakati? maajabu chelsea iliyo majeruhi kama CCM kuishinda barcelona na kuitupa nje.
Poleni sana Barcelona wa Kibongo sasa turudini kujadili siasa zetu zinazovuma kama upepo wa kusi na jangwa la sahara