Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Great Thinkers naomba tujadili maendeleo CCM iliyotuletea toka ichukue madaraka. Ivi kuna kitu CCM imefanya 'beyond the ordinary'? Ni sera gani CCM imeweza kusimamia kwa nguvu zake zote kuhakikisha hiyo sera inafanikiwa? Hapa tunaweza kuweka mfano wa ELIMU, Maji safi, Umeme, Kilimo, nk?
Tunapoongelea maendeleo na ninachomaanisha kwa phrase ya 'beyond the ordinary' ni kama Dr Slaa alivyoeleza wakati wa uchaguzi. CCM kama chama kilichoko madarakani na chenye nguvu ya kisheria ya kukusanya kodi, kwa wao kusema tumejenga barabara sio kuleta maendeleo. Hilo ni jambo ambalo ni lazima lifanywe na 'the government of the day'. Ni sawa na baba mwenye nyumba aseme nimelisha familia yangu.
Hapa tunaongelea maendeleo in the sense of eradicating a specific problem (eg: malaria) or dealing with a certain issue and resolving it completely (eg: unemployment). Kwa hiyo swali linakuja, CCM imeweza kutuletea maendeleo gani? Kuna tatizo gani ambalo CCM imeweza kulikalia kinaganaga na kulimaliza? Kama hakuna, kwa nini bado tunaimba na kukenua nao mpaka leo? Au ndio ujinga wetu ambao iliahidi kuuondoa mwaka 1961? (mind you, ccm = TANU + ASP)
Tunapoongelea maendeleo na ninachomaanisha kwa phrase ya 'beyond the ordinary' ni kama Dr Slaa alivyoeleza wakati wa uchaguzi. CCM kama chama kilichoko madarakani na chenye nguvu ya kisheria ya kukusanya kodi, kwa wao kusema tumejenga barabara sio kuleta maendeleo. Hilo ni jambo ambalo ni lazima lifanywe na 'the government of the day'. Ni sawa na baba mwenye nyumba aseme nimelisha familia yangu.
Hapa tunaongelea maendeleo in the sense of eradicating a specific problem (eg: malaria) or dealing with a certain issue and resolving it completely (eg: unemployment). Kwa hiyo swali linakuja, CCM imeweza kutuletea maendeleo gani? Kuna tatizo gani ambalo CCM imeweza kulikalia kinaganaga na kulimaliza? Kama hakuna, kwa nini bado tunaimba na kukenua nao mpaka leo? Au ndio ujinga wetu ambao iliahidi kuuondoa mwaka 1961? (mind you, ccm = TANU + ASP)