mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Ungekuwa na kibahasha wangeandika chochote utakacho wewe, kama unabisha muulize Pasco wa JF. Tatizo ni bahasha za lunch au usafiri, sio za rushwa hapana, mnhhhh!
Kweli FF nao wana namna yao ya kujikimu,kama wafanyakazi serikalini hasa maboss wanavojipa safari na warsha kujazia kusustain life kuelekea mwisho wa mwezi