Je,Ben Saanane ana Bifu na uongozi wa Chadema?Ndiyo visasi vimeanza?

Ben Saanane

JF-Expert Member
Jan 18, 2007
14,581
18,124
Watu,

Hapa JF sharia hazifuatwi hasa pale ambapo mtu wanaemtaka anaguswa unakuta Mods wanatoa thread au wanaihamisha.Huko nyuma nilishawahi kusema huyu jama hana tofauti na kikwete kwa visasi ,Haya hebu angalieni status yake ya facebook inaashiria nini?

"
Comrade Julius Malema amechaguliwa Tena kuongoza umoja wa vijana wa chama cha ANC Afrika Kusini (ANC Youth League),baada ya kuungwa mkono na mgombea mwingine Leobogang Maile aliyejitoa kwa maslahi ya vijana na chama.Katika mchakato huu vyama vya siasa vya Tanzania vinatakiwa kujifunza katika kuendesha chaguzi za mabaraza ya vijana.Tukubali changamoto,tufanye mazoezi mazito ya demokrasia"

Log In | Facebook

Sasa wale viherreherre sijui mtasemaje

Nifungieni teana kama mlivyofanya huko nyuma,
 
wewe ndio kiherehere unahangaika na yasiyokuhusu kama FF

we are busy with budget issues, kakojoe ulale!!!
 
Kwa wale ambao hamko facebook,mojawapo wa comments ni kama hizi,inaashiria nini?hapa alikua anamjib mchangia mada kwenye status yake aliyeenguliwa pamoja nae amabae ni member humu anaitwa Greyson. ‎" @Greyson,Tuko pamoja comrade...ni lazima tawala zote ,mamlaka zisizopenda challenge zijue kwamba there is a formidable spirit they cant stop,they must prepare for a long battle ahead.The evil club of Tyrants must be aware...as for the patr...iotic youth clubs,They must be aware of the responsibilities ahead,it is Sactas Simplicitas. They must avoid regular big stouting , suyaing , big stouting and peppersouping. Those are not the real issues. They must be prepared to immerse themselves in societal dialectics. They must put their nose to the grind stone. Again Mwanafalsafa Plato said," Those who are smart to engage in politics are punished by being governed by dumbs" pia OLYMPYA DUKAKIS anasema " Most of us are not real eager to grow, myself included. We try to be happy by staying in the status quo. But if we're not willing to be honest with ourselves about what we feel, we don't evolve. "

 
wewe ndio kiherehere unahangaika na yasiyokuhusu kama FF

we are busy with budget issues, kakojoe ulale!!!

Peleka udikteta wako huko,ninyi ndiyo mnataka tuwape nchi na mawazo yenu ya udikteata hivi...mmelowa
 
Kwa wale ambao hamko facebook,mojawapo wa comments ni kama hizi,inaashiria nini?hapa alikua anamjib mchangia mada kwenye status yake aliyeenguliwa pamoja nae amabae ni member humu anaitwa Greyson. ‎" @Greyson,Tuko pamoja comrade...ni lazima tawala zote ,mamlaka zisizopenda challenge zijue kwamba there is a formidable spirit they cant stop,they must prepare for a long battle ahead.The evil club of Tyrants must be aware...as for the patr...iotic youth clubs,They must be aware of the responsibilities ahead,it is Sactas Simplicitas. They must avoid regular big stouting , suyaing , big stouting and peppersouping. Those are not the real issues. They must be prepared to immerse themselves in societal dialectics. They must put their nose to the grind stone. Again Mwanafalsafa Plato said," Those who are smart to engage in politics are punished by being governed by dumbs" pia OLYMPYA DUKAKIS anasema " Most of us are not real eager to grow, myself included. We try to be happy by staying in the status quo. But if we're not willing to be honest with ourselves about what we feel, we don't evolve. "


Huu ni uchafu ambao hauihitaji kujadiri, nyie ndio wendawazimu tena vichaa kabisa mnaye hitaji tiba ya akili umeomba kuwaongoza wati wenyewe wame kukataa malalamiko yote hayo ya nini au ulikuwa nalengo tofauti na kuongoza? kama ndio malengo yenu ndio yaleyale ya wa chumia tumbo ondokeni mapema maana mipango yenu haitafanikiwa hata kidogo labda muende kwenye magamba.
 
Sasa wewe mtu utakua huna akili timamu,
yaani unaongelea vitu humu kwa Greatthinkers halafu una-refers facebook? unafananisha, kulinganisha na kupambanuaje hivi vitu viwili wewe?
unaionaje hii forum wewe?
Ukweli umeidhalilisha sana forum, inatakiwa uombe radhi.
 
Huyo Ben mbona yuko sahihi sana tu sioni tatizo kama mtoa hoja unvyosema.

Na katika comment zake ame toa nukuu makini sana.

Ni lazima ktk maendeleo mabadiliko yenye tija yafanyike ,CDM kinaukuwa lazima kikubali challenges la sivyo hakita endelea ......
 
Back
Top Bottom