je?bao moja tu naweza pata HIV?

Acheni kumtisha mwenzenu wala hajaambukizwa chochote.Ila mwambieni aache umalaya coz leo moja kesho moja, jumla mawili na ukimwi juu!
 
...mm ni ME,nimekutana na msichana bahati nzuri pakawa ni faragha...(mimi na yeye tu)...tukajikuta tumechezeana takribani 30min...wote hoi! kidume nikashindwa kuvumilia...nikachomeka mambo kavkav!...ofcoz sikukawia...shampeni ikafunguka na kumwagika!...sasa nikaanza kuwaza,je kama yule mtu ana ngoma naweza kupata?

NB: sina kidonda wala mchubuko katika uume wangu!


Aisee mmh..unahitaji kujifunza kwa makini kuhusu ukimwi na jinsi unavyoambukizwa. Wewe unajiuliza kama huyo msichana ana 'ngoma' je kama wewe ndo unao japo huna vidonda kwenye uume? Kwa kujibu swali lako tu ni ndiyo unaweza kuambukizwa VVU hata kwa bao moja!! upo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom