si unajua ukisema "kuna mtu" wanakushtukia...
tupa kule braza...waathirika wanakuwaga na hasira sana atii!
Hehehe! Utajibeba na ulafi wako...
...mm ni ME,nimekutana na msichana bahati nzuri pakawa ni faragha...(mimi na yeye tu)...tukajikuta tumechezeana takribani 30min...wote hoi! kidume nikashindwa kuvumilia...nikachomeka mambo kavkav!...ofcoz sikukawia...shampeni ikafunguka na kumwagika!...sasa nikaanza kuwaza,je kama yule mtu ana ngoma naweza kupata?
NB: sina kidonda wala mchubuko katika uume wangu!
Ulitakiwa ukoage baada ya kungoneka. SIKU NYINGINE IIKITOKEA KAMA HIVYO, WEWE NENDA KAOGE WALA HUTAPATA.
UZINZI UZINZI UZINZI