- Thread starter
- #21
Angefaa sana kuwa Spika...kwa Maana ni Mpinzani ndani ya CCM
siyo mpinzani bali ni majeruhi ndani ya chama baada ya kutishiwa kunywanganywa kadi pale dodoma na adhabu nyingine kunyiwa uspika. huwezi kuwa mpinzani within kwani kufanya hivyo unajimaliza mwenyewe, jamaa lazima waku fix.