Poleni sana na maisha magumu Watanganyika wenzangu, tufafika tu mdogo mdogo. Mimi sina mengi ila najaribu kuangalia hizi tuhuma mpya za kisiasa ambazo Mpendazoe amezitoa hadharani jana, inaonekana kuna dalili za ukweli kwamba baadhi ya wana CCM (Chama Tawala) walitaka kukichakachua chama chao mmojawapo akiwa Sita Samweli kada kwenye uzoefu ndani ya chama hiki kikongwe.
Wengi pamoja na mimi tulisikitika sana wakati jina na mpiganaji wa ufisadi huyu ndani ya chama tawala lilivyokatwa wakati wa kuwania uspika wa Bunge. Kwa mbali tangu jana naona dalili za uvujifu wa kimaadili ya kichama uliofanywa na kada huyu number moja kutaka kukisaliti chama chake, Wana JF changieni
a) Je tuhuma hizi zina chembe chembe ya ukweli?
b) Je huyu Jamaa angefaa kuwa spika wa bunge la Jamhuri kwa mara ya pili hasa uliangalia record yake ya kiutendaji wa bunge lililopita?
c) Je anafaa kuwa kiongozi wa watanzania na ana uchungu na ubadilifu wa mali za umma? yaani anaweza kuwa Rais kwa nchi hii kama akipendekezwa na chama chake 2015?
d) Je ni kipi kilichomfanya ageuke na arudi tena alikotaka kutoka? ni kweli uchu wa madaraka au kuna jingine limejificha?
e) Je nani mwenye makosa, Mpendazoe aliyesema tuhuma hizi na kutorudi kwake nyuma au wenzake ambao baadae waliamua kurudi kundini na kuomba msamaha na kupewa madaraka ya kuongoza umma tena?
f) Je kisiasa ni makosa kubadilisha msimamo wako hasa unapogundua umefanya makosa ya kukihujumu chama chako? kosa hili linasameheka?
Wengi wetu bado tunaamini kada huyu alionewa kwa kukatwa jina lake kwa kigezo cha jinsia, je ni sahihi na angefaa kabisa kuliongoza bunge regardless hizi tuhuma za mpendazoe ambazo hazina uhakika?
FUSO - safarini Gairo - Dar.
Wengi pamoja na mimi tulisikitika sana wakati jina na mpiganaji wa ufisadi huyu ndani ya chama tawala lilivyokatwa wakati wa kuwania uspika wa Bunge. Kwa mbali tangu jana naona dalili za uvujifu wa kimaadili ya kichama uliofanywa na kada huyu number moja kutaka kukisaliti chama chake, Wana JF changieni
a) Je tuhuma hizi zina chembe chembe ya ukweli?
b) Je huyu Jamaa angefaa kuwa spika wa bunge la Jamhuri kwa mara ya pili hasa uliangalia record yake ya kiutendaji wa bunge lililopita?
c) Je anafaa kuwa kiongozi wa watanzania na ana uchungu na ubadilifu wa mali za umma? yaani anaweza kuwa Rais kwa nchi hii kama akipendekezwa na chama chake 2015?
d) Je ni kipi kilichomfanya ageuke na arudi tena alikotaka kutoka? ni kweli uchu wa madaraka au kuna jingine limejificha?
e) Je nani mwenye makosa, Mpendazoe aliyesema tuhuma hizi na kutorudi kwake nyuma au wenzake ambao baadae waliamua kurudi kundini na kuomba msamaha na kupewa madaraka ya kuongoza umma tena?
f) Je kisiasa ni makosa kubadilisha msimamo wako hasa unapogundua umefanya makosa ya kukihujumu chama chako? kosa hili linasameheka?
Wengi wetu bado tunaamini kada huyu alionewa kwa kukatwa jina lake kwa kigezo cha jinsia, je ni sahihi na angefaa kabisa kuliongoza bunge regardless hizi tuhuma za mpendazoe ambazo hazina uhakika?
FUSO - safarini Gairo - Dar.