Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Tatizo sisi Watanzania ni masikini sana halafu wengi wetu ni watumwa wa kiakili wamezoea lazima tajiri hawe Mzungu au Muarabu.
Bob Justus Baguma ni tajiri mkumbwa sio Tanzania tu mpaka UK kwao Uganda pia ana hotel nyingi tu za kitalii, Bob Justus Baguma ni Mkurugenzi wa JB Beltont.
Uingereza kuna kampuni zake pia kuna ARMSTONE LIMITED, EORO-AFRO CONSUMERS LIMITED.
JB saizi ni mwenyekiti wa jumuiya ya waganda wanaoishi Tanzania, JB ni kichwa kaenda shule ana Masters Degree in business kasoma UK.
Huyu jamaa ni mtu makini sana.
Unayoysema inawezekana yakawa ya ukweli. Lakini MMJ alipouliza huyu mtu ni nani ana habari gani zilimzomfanya amuulizie? MMJ inabidi arudi hapa atwambie. Hata hivyo, huyu mtu ananikumbusha ya "Mark Twist Kinyanjui" kwa wale waliokuwepo enzi zile!!!!
Tiba