JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

Tatizo sisi Watanzania ni masikini sana halafu wengi wetu ni watumwa wa kiakili wamezoea lazima tajiri hawe Mzungu au Muarabu.

Bob Justus Baguma ni tajiri mkumbwa sio Tanzania tu mpaka UK kwao Uganda pia ana hotel nyingi tu za kitalii, Bob Justus Baguma ni Mkurugenzi wa JB Beltont.

Uingereza kuna kampuni zake pia kuna ARMSTONE LIMITED, EORO-AFRO CONSUMERS LIMITED.

JB saizi ni mwenyekiti wa jumuiya ya waganda wanaoishi Tanzania, JB ni kichwa kaenda shule ana Masters Degree in business kasoma UK.

Huyu jamaa ni mtu makini sana.

Unayoysema inawezekana yakawa ya ukweli. Lakini MMJ alipouliza huyu mtu ni nani ana habari gani zilimzomfanya amuulizie? MMJ inabidi arudi hapa atwambie. Hata hivyo, huyu mtu ananikumbusha ya "Mark Twist Kinyanjui" kwa wale waliokuwepo enzi zile!!!!

Tiba
 
hamna anayekataa kuwa huyu bwana si tajiri,wala anayepinga kuwa ni mfanya biashara maarufu na mwenye elimu lakini hayo yote haya wazuii watanzania kuhoji kama biashara zake zinaendeshwa kwa kufuata misingi ya kibiashara hasahasa kulipa KODI, pia kama mwenendo wake binafsi pia ni hatari kwa vijana wetu hasa wa kike, hatupaswi kumshabikia tuu kisa eti ni MFANYA BIASHARA MAKINI, Kumekua na tabia ya wageni wengi kupewa upendeleo katika biashara zao na dora yetu na huu ndo msingi wa watu kuhoji mwenendo wa biashara na utajiri wake,Kabla wapakstani hawajajua kama pale alipokamatwa osama yalikua makazi yake, wengi wa maeneo yale walisema ile nyumba ilikuwa inamilikiwa na mfanyabiashara mpole asiye na makuu wala bugudha kwa majilani,Kumbe ni GAIDI namba moja OSAMA BIN LADEN,kwaiyo nashauli tuepuke kuhalalisha mambo na kudharau shaka na hoja za watanzania wenzetu.
kwa stahili yetu ya utendaji wa kazi ndio maana tunakuwa na mashaka na kila mtu anayekuja nchini na kutajirika kwa kasi ilhali sisi tukiendelea kutembeza bakuli ,kuchangiana mamilioni kwenye harusi,kampuni zetu zikiendeleza kudhamini ma-miss kwa milioni huku zikikata kusomesha wafanyikazi wao.Let's keep up our culture ya kuwa na mashaka na kila tajiri kwa sababu inaonekana tushaamua kufunga mkataba na umasikini...after all you are very right,behind every great rich man lies great deeds of evil.I'm also right in believing that behind most rich men lies great deeds of pure legal hard work!
 
Jambo la kujiuliza je tunaweza pata mtanzania hata mmoja aliyewekeza nchi ya kenya au uganda akafikia level hii ya mafanikio, wakenya na waganda wako wengi hapa, kuna wanaomiliki hadi vyuo kama kiu nk sasa huu ni mfano mdogo na picha tunayopata kutokana na muungano huu wa jumia ya afrika mashariki na chances zetu za kugain chochote kutoka ktk jumui hii maana sisi ni watu wa porojo tu!
 
so what's your point?tuendeleze kasumba yetu ya kila tajiri ni fisadi ama freemason kwa sababu ujamaa hautaki matajiri?

his point is; never take things for granted, especially the valuable ones..................god given gifts are rare......!!!!!!!!!
 
life005px.jpg

In the "haven of peace" that is Dar es Salaam, is the Benjamin William Mkapa Pension Tower, the tallest skyscraper in this commercial capital of Tanzania that houses the famous Paradise City Hotel. The hotel is owned by a Ugandan entrepreneur, Justus Baguma, who at the height of the East African community talk in 2003, stepped on Tanzanian soil, and two years later, established the four-star hotel after leasing the multi-million US dollar complex from Tanzania's National Social Security Fund (NSSF).

"I love to serve and I love good things," Mr Baguma reveals the drive behind his hotel business. "I have lived in most expensive hotels and I always wanted to own mine, and today, I employ about 200 people in this country."

Chanced meet

On a business trip to Tanzania early this year, I booked into the 72-suite hotel, clueless it's owned by a Ugandan. On the third day of my stay, I jumped into the lift to go to my room on the sixth floor, and therein met a man who greeted me politely and asked how I was finding it at the hotel. With the ergonomic facilities I had enjoyed from day one, and the fantastic continental breakfast I had just consumed and the sweet smile of waitress that served me still etched on my mind, I found myself saying: "This place's sure a paradise away from home!"

Turns out, I was speaking to the managing director of the hotel himself! And when he learned I'm Ugandan, he shook my hand excitedly, and invited me to his office where we spoke, like long-lost-finally-reunited-buddies, on life back home.

Ingredients to success

From his unassuming and friendly disposition, it was easy to figure out why it's difficult for such a man to fail. Baguma is a "man of the people" who prefers "dealing with ordinary people because they can be trained and trusted to do a better job than professional managers that always walk out on you."

The husky-voiced hotelier was born in Mbarara, 62 years ago, and studied business at Kyambogo. In 1986, he went to the United Kingdom for a Masters degree in Business Studies.

"A rocky road to success, rags to riches –that's me," he says quietly. "I'm a self-made man. I believe in hard work. I believe in comparing notes and I believe in challenges."

The greatest ingredient to success, he said, is guts. The guts to take tough decisions, the guts not to quit when the going gets rough. Blunders characterised his early business days. "I used to get excited," he confesses, "I would involve people in all sorts of business ventures without doing thorough research. We would lose all our money and they would blame me. That was my major challenge until I decided to do it alone."

In 2001, Baguma attempted to bring McDonalds, the American fast food chain to Uganda, but it didn't work. He retreated to the drawing board and made another strategy that birthed Paradise City Hotel. He uses the metaphor of death to describe the investment mistakes from which the real business men rise to make it.

Experience has also taught him that generosity is invaluable. "Someone comes and says ‘I want to stay here, but I don't have that kind of money.' What do you do? You have workers to pay, and rent, but you look at the empty room and give him accommodation."

Ok....ok you have just opened up a very new avenue for further probing..............hapo kwenye red and bold
 
Does anybody know who is he and what is he doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?
I find your statement to be too subjective...ni kama umesha-form an opinion about this 'JB character'.Ni sawa na mtu kukuuliza ' You look so nervous,how do you feel?'
 
Mzee Mwanakijiji,

Kwa ufupi huyu bwana ni mganda na alikuwa mwanajeshi wakatofautiana na Museveni akaja hapa Tanzania na kuishi kwa muda na badaye alikwenda Ulaya akafanya biashara zake mambo hayakwenda sawa na akarudi tena Tanzania na ndipo akapata mwanamke wa kihaya akamuoa na ndiye wanaye mpaka sasa.

Ana pesa nyingi sana ni mfanya biashara, hizi hbr ni kutoka kwa mtu wa ndani ya familia, na huo ndo ukweli

Mzee Mwanakijiji Pamoja na heshima yote niliyonayo kwako, naskitika kuona unaleta thread iliyokaa kimajungu kama hii.
 
JB ni janga kwa taifa hili....mpeni muda kidogo tu you will prove this..... mbali na hayo mambo ya down to earth ni mzinzi sana na anaharibu sana mabinti pale Quality Centre

Mimi nadhani kama hao mabint wanaumri zaidi ya miaka kumi na nane siyo ishu. Ishu ninayo ifurahia kwa uwekezaji wa JB nimepata tetesi kwamba kuna mkono wa mafisadi waliokuwa wametoroshea pesa nje wameamua kurudisha vijisenti hivyo nyumbani.
 
Mzee Mwanakijiji kwenye uchunguzi wako mjumuishe na yule Mmiliki wa Ocenic Beach Resort kwa sasa anamiliki Baraka Plaza pamoja na TSN Supermarkets bila kuhesabu Towers zinazoibuka Upanga na Mikocheni.
 
Tusker Bariiiidi,

I think ndiye huyu tulikuwa tunampigia story; unafahamu JB inasimama badala ya nini?

Nafikiri unataarifa za kutosha sasa kuhusu huyu JB hivyo ni muda muafaka sasa kutuambia hizo story mlizokua mnampigia zililenga wapi mpaka ukapata msukumo wa kuleta hoja iyo hapa jamvini, pia itatuondolea hisia kuwa mlikuwa mkipiga majungu na kusengenya tu.
 
ni kweli nenda KCB, JB ni mmoja wa wakopaji wakubwa na anae heshimika na bank hiyo ...
Kuna hii benki NiC nayo imekaaje? Ni ya nani? Naona wazawa wanahomola mabilioni humo kwa staili ya mikopo.
 
It is the content that counts........ ndo maana wenzio tumeelewa na wadau wanaweka data hapa. Huyu mzee sio editor na ndio maana kuna watu wa fani hiyo...... after all this is not for publication purposes so kama vipi get back to your employers expectations......m sorry if I sound harsh

Mkuu unachosema ni sahihi kabisa, mtu yeyote ambaye yuko familiar na lugha/mikato zinazo tumika kwenye social networks karibu zote duniani awezi kuwa overly concerned na style zinazo tumiwa na members cha muhimu ni kupata ujumbe.
 
Kuna pia huyu jamaa anayeitwa JB kule Kigamboni ... ananunua viwanja na mashamba kwenye prime areas kule kwa kasi ya kutisha. Kama sijakosea kule wananchi wanamfahamu kama ni Mrundi na sio Mganda, sasa hii misconception sijui ni kama inafanywa na yeye purposely au wananchi wanashindwa kutofautisha sababu ya lafudhi yake. Anajenga sehemu nyingi pia kule gezaulole, na ni maarufu sana kwa vijana na mafundi ujenzi kule sababu ya kazi nyingi anazowapa ... pale Gezaulole ukimuuliza kijana yeyote kule kuhusu JB hatoshindwa kukupa stori zake na uwekezaji wake kule.

Naomba kufahamishwa, hivi sheria zetu za umiliki wa ardhi siku hizi zinaruhusu mtu asiye raia wa Tanzania kununua na kumiliki ardhi??
 
Belmont...acha huyo tu, kuna waganda, makongo kibao wanaofanya kazi ya utapeli tu kwenye sekta ya madini..wanajiita generals, kanali, waasi kutoka kongo..kumbe matapeli wakubwa..mwaka jana walitutapeli fedha nyingi tu, wakakimbia zao kongo..lakini kibaya zaidi hawa jamaa huwa wakishatapeli hugawa fungu kwa polisi..ili wsikamatwe..wameharibu kabisa sekta yetu ya madini...na njia yao kubwa wanayotumia..ilikuishi hapa ni kuoa mabinti wa kitanzania na kuzaa nao ili kuhalalisha uwepo wao hapa nchini..nashangazwa na kusikitishwa sana na hali kama hii
 
Back
Top Bottom