JAYDEE Apanga kununua ndege (aeroplane)

...

Siku moja MUNGU akipenda nitakuwa na ndege yangu labda, na hapo kwenye ki kadi kama hiki patakuwa pameandikwa MACHOZI AIR na sio Barrick Tanzania.
...

nadhani hizo ni ndoto zake. naamini mwenyewe ljd anaamini atapata mafanikio
zaidi ya aliyokuwanayo sasa.

naamini maoni ya pakajimmy yatafaa kumsaidia kuona ukweli wa challenge zinazoambatana na kumiliki ndege. ni jukumu la ljd kupima hizo challenges na kuona kama zinatosha kumfanya abadili malengo yake na badala ya ndege awaze kitu kingine. hata hivyo sio vibaya kuota kwani "asiye na ndoto ni sawa na mfu" lol.

ila majibu ya ljd kuhusu hoja hapa ndio nimechoka kabisaa. kwa kweli majibu yake ndio yamenifanya niisome hii thread kuona kama reaction yake ni sawa. binafsi nadhani hajaitendea vyema jf katika ujumla wake.
 
nadhani hizo ni ndoto zake. naamini mwenyewe ljd anaamini atapata mafanikio
zaidi ya aliyokuwanayo sasa.

naamini maoni ya pakajimmy yatafaa kumsaidia kuona ukweli wa challenge zinazoambatana na kumiliki ndege. ni jukumu la ljd kupima hizo challenges na kuona kama zinatosha kumfanya abadili malengo yake na badala ya ndege awaze kitu kingine. hata hivyo sio vibaya kuota kwani "asiye na ndoto ni sawa na mfu" lol.

ila majibu ya ljd kuhusu hoja hapa ndio nimechoka kabisaa. kwa kweli majibu yake ndio yamenifanya niisome hii thread kuona kama reaction yake ni sawa. binafsi nadhani hajaitendea vyema jf katika ujumla wake.
KAFARA,
Nia yangu ilikuwa rahisi tu, kushea nae changamoto zilizopo kwenye aviation industry!...Haitakiwi kutumbukiza mguu huko kabisa kama hukujipanga sawasawa.

Ukiacha mbali mfano wa live niliompa, kuna kampuni maarufu ya juzi hapa tu iliyoitwa COMMUNITY AIRLINE!...Yeye mwenyewe anajua ilidumu kwa siku ngapi, kabla ya ku'retreat na kurudi kwa gea ya tofauti. Hii ni pamoja na kujitangaza saana kwenye kila media inayomilikiwa na Diallo!

Mshahara wa Pilot mmoja wa ndege jamii ya dash8(ambayo ndo ameipenda), ukiacha mbali allowances za kulala nje(night stops), risk allowances etc, haupungui dollar 4,000/= kwa mwezi!

Kwahiyo, vitu ndo kama hivyo hapo.

Nadhani ni sahihi tu kujua cost-benefit analysis ya undertake yoyote katika dream ya mtu ..

Its just for God-sake!
 
KAFARA,
Nia yangu ilikuwa rahisi tu, kushea nae changamoto zilizopo kwenye aviation industry!...Haitakiwi kutumbukiza mguu huko kabisa kama hukujipanga sawasawa.

Ukiacha mbali mfano wa live niliompa, kuna kampuni maarufu ya juzi hapa tu iliyoitwa COMMUNITY AIRLINE!...Yeye mwenyewe anajua ilidumu kwa siku ngapi, kabla ya ku'retreat na kurudi kwa gea ya tofauti. Hii ni pamoja na kujitangaza saana kwenye kila media inayomilikiwa na Diallo!

Mshahara wa Pilot mmoja wa ndege jamii ya dash8(ambayo ndo ameipenda), ukiacha mbali allowances za kulala nje(night stops), risk allowances etc, haupungui dollar 4,000/= kwa mwezi!

Kwahiyo, vitu ndo kama hivyo hapo.

Nadhani ni sahihi tu kujua cost-benefit analysis ya undertake yoyote katika dream ya mtu ..

Its just for God-sake!

naafikiana nawe katika kumpa ukweli kuhusu gharama zinazohusika na
kudumisha njozi yake.

tupo pamoja.
 
We mdada hizo ni ndoto za alinacha, jk na kabinet yake wameshindwa kuendesha tz airways sembuse ww kajamba nani? Huh .. Utaishia kuzipanda tu tena za masafa mafupi.
 
Katika maisha kuna malengo ya muda mfupi na malengo ya muda mrefu. Pengine hayo ni malengo yake ya muda mrefu na tusimkatishe mtu tamaa kwa yale anayotaka kuyafanya. Mimi ninaona ni malengo mazuri tena sana kwa msanii kama yeye kuwa na hayo malengo (ni mfano wa kuigwa). Kuzaa au kutozaa ni neema ya Mwenyezi Mungu.


Na kweli ni malengo ya muda mrefu baada ya kufa kwake !!!!!!
 
Muacheni dada wa watu,hata mimi siku moja napenda kuwa rais,tatizo????? By the way,anatafuta peas,atazitumia apendavyo!!!!!!!!!!
 
Safi sana JayDee!!! Kila binadamu mwenye kupenda maendeleo ni lazima uwe na wishes tena not low but high!!!!! Mbona akina Hon. Ndesamburo na wengine wana vi-charter vyao? Walianza kununua vokswagen kobe na leo hii wana magari na vi-charter vyao. Weka malengo makubwa ili hata kama hayatatimia lakini utakuwa umefikia sehemu fulani.

Mfano live ni kuwa tulipoanza kazi mishahara ilikuwa ni midogo sana enzi hizo japo ulitosha matumizi, saving ni kidogo na safari pia zilikuwa si nyingi sana kama miaka ya karibuni. Biashara au kujipatia kipato cha ziada ilikuwa ni marufuku na kama unafanya basi ni kwa siri sana. Pamoja na hayo yote, kama familia(mke/mume) tulijiwekea malengo na mojawapo ni kujenga nyumba nzuri tena ghorofa (ndoto za abunuasi). Ndoto zilitimia na ghorofa ilijengwa!!!! Wakaruhusu kuwa na shughuli za kuongeza kipato na tukajitosa mwishowe zikaendelea vizuri na mmoja wetu akalazimika kuomba kustaafu ili asimamie na mambo safi kabisa!!! Na ghorofa la awali tulishalihama!!!!!!

Bottom line: Weka malengo ya juu kimaisha. Ukiwaza kidogo utapata kidogo!!!! Huo ni mfano hai na waliofanikiwa wote walikubali (1) To Dare(2) To take risk (3) To Believe (4)To Begin.

Yote hayo ni juhudi zetu na si ufisadi. Eti vijana siku hizi ni ma-deal ya kijinga kama yale ya EPA siku mbili utaona design ya Jonson Lukaza, et al....

Pull up your stockings and stop gossiping and envying.
 
labda ndo dream zake ,kasema anatamani kuwa malaika na sasa anatamani ndege all ze best jeydee
 
Asifanye mchezo, huyu, hataweza...Ndege si kama Machozi Band, ambayo unaweza kuiendesha kwa kuwakopa wapigaji..huh!

Lau angejua gharama ambazo ndege inakula asingetamka hilo, labda kwa kujifurahisha tu.
Du maneno kama haya hayafai kwa nini asiweze kwani waloweza wana nini?as far ni hardworking woman na pesa inaingia na anazidi kuisaka atanunua tu.
 
Wewe utakuwa GADNER G. HABASH AU LADY J DEE mwenyewe. Naona point zako zimelala DORO.
Mkuu kwanini mnahisi atakuwa Gardner au Jay dee mwenyewe? kwakuwa amekuwa positive au kawapasha ukweli wenu? mi nadhani wengi mnakurupuka someni post muielewe ndiyo mtoe comments zenye kina na sii ilimradi comment....Mi nafikiri hoja ilikuwa ni kwamba hizo ni wishes zake tu na kila mtu ana wishes zake...wish siyo lazima ije itokee kweli,ni kujipa changamoto ya maendeleo....ni kama kusoma nyota yako magazetini.

Jamani Tujenge ...na tusibomoe.

Wivu ni adui mkubwa wa maendeleo.
 
Kama sijakosea hivi ndiovyo mada ilivyoanza 'Siku moja MUNGU akipenda nitakuwa na ndege yangu labda, na hapo kwenye ki kadi kama hiki patakuwa pameandikwa MACHOZI AIR na sio Barrick Tanzania'. naamini kwa mtanzania anaekielewa kiswahili sawasawa ataelewa huyu binti alikuwa akimaanisha nini!!! haya ni mawazo yake tu kuwa iko siku ikimpendeza mungu nae amiliki ndege, hajawatangazia mipango ya kwenda kununua ndege!!!! naona watu wameanza kwa ukali kuchooonga mara kumkashifu mara elimu yake mara anakopa wapigaji machozi band n.k n.k. jamani hakuna binadamu anaezuiliwa kuwa na ndoto zake, na hizo tunazoziita ndoto kwa wengine huwa ni malengo ambayo huyawekea mikakati na iko siku huwa ya kweli! msimdharau mtu kwa kuwa nyie vipato vyenu au mipango yenu haijakaa sawa mkadhani wote wanamtazamo sawa. Mimi nafahamu wasomi weeengi tu ambao hata kumudu kuvaa shati/gauni zuri ni tatizo juu ya degree walizo nazo na kuna watu ambao wana elimu ndogo ya darasani lakini wana elimu ya kunusa pesa zilipo na wanajua namna ya kuzitafuta, yote ni maisha tu maradi uchange karata zako vema. sasa kununua ndege si jambo dogo lakini kwa mikakati linawezekana tu, kwani wadhani hata kununua spacio ni rahisi??? ni suala la kuamka tu asubuhi na kubeba koba la pesa na kwenda kununua kama unavyoweza kununua mswaki dukani kwa mpemba?? wengi wanaojitia kumiliki magari kwa mbwembwe mjini hapa wamekopeshwa magari hayo sasa tatizo nini kwa JDee??? acheni hizo jamani.

 
labda ndo dream zake ,kasema anatamani kuwa malaika na sasa anatamani ndege all ze best jeydee
well said dear first lady ni ndoto zake na atazitimiza kwa wakati wake, what we need is to wish her al the best, kwenye wimbo wa mawazo aliwahi kuzungumzia kuwa anawaza kuendesha freelander na alikuja kuliendesha kwweli, waimbaji wangapi ni ma chapombe tu hata baiskeli hawana???!!!! leo kaanza kuwa na wazo la kuwa na Air machozi huenda Mungu akamjalia ndoto zikawa kweli
 


HII NDO NDEGE YA NDOTO YA LADY JAYDEE(DASH-8).

Hapo ilipo hewani, mbali ya kula mafuta, inaendelea kuingiza bili kubwa sana ya "Air Navigation".

NINI FREELANDER BANA, mafuta ya buku-jero unatembea!..MAMBO IKO NA HIYO MSUKULE INAYOPAA HAPO!

 
hii post kaiweka Gadner? sioni mantiki yoyote au mlitaka tujue jinsi mlivyopanda ndege ya hao wezi wa madini yetu??????????
kanda mbili2 umenikosha,jide huna uwezo wakunua ndege hata hao majizi wa madini yeyu hawana uwezo wakumiliki ndege ila baada ya kutuibia madini yetu ndio wamenunua ndege,au mnatutangazia kama mlipelekwa na kurudishwa kwa ndege,hamtakiwi kufurahi mnatakiwa mlie kwa nchi yenu inavyoibiwa,hiyo ndege imepaa kwa hela za madini yetu.
 
You just need to believe in yourself, then you will be there!!!! Keep it up Jaydee and Captain!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom