King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,515
Msanii Juma Mchopanga aka Jaymo amefanya wimbo na msanii kutoka marekani ajulikanaye kwa jina la MIMS,jina la wimbo huo ni Never be me.
Big up Jaymo wimbo mzuri sana na umetutendea haki kwa chance hio na sio AY amepata chance na Master P na Lil Romeo ameenda kuimba viduku
Big up Jaymo wimbo mzuri sana na umetutendea haki kwa chance hio na sio AY amepata chance na Master P na Lil Romeo ameenda kuimba viduku