EMM_411
Member
- Mar 24, 2011
- 27
- 7
Nashukuru kwa mawazo yako,nadhani hili ni darasa huru mtu yoyote yule anaruhusiwa kushiriki,sasa ndugu yangu mbona unaonesha fikra mgando za kuninyanyapaa au kwakua nimekua muwazi kuwa sijui?? Mwalimu mwenyewe aliyeanzisha thread hii hajalionesha hilo iweje wewe mwanafunzi mwenzangu? Kwani mtu akisema hajui hapo anakua anatania kweli? Au mie ndio sikuelewa pale uliposema ''msifanye jokes'' au kwakua wewe unajua so asiyejua kwako hana maana mhn?? Je Daba asemeje sasa?? Nadhani wakati mwingine kauli zako zinaweza zikamkatisha mtu tamaa badala ya kumpatia changamoto na sidhani kama hilo ndio lengo la JF!! Asante kwa maoni yako,ubarikiwe sana!!!Ukiwa kama mimi haitakusaidia, kwa sababu mimi mwenyewe nahitaji kujifunza zaidi na zaidi. Ukijua java ina class 230, na method 600 itakusaidia nini? sidhani kama kuna programer yeyote ambaye anajua packages na classes zote za java ziko ngapi. Ila unajifunza pale unapotaka kufanya kitu flani. Kwa mfano ukitaka ku add session kwenye application yako, unatafuta ni namna gani, then unakuta class ambayo inakusaidia kufanya hivyo. Katika forum kama hizi si rahisi kujifunza kutoka zero to somewhere. you need first to understand the basic concepts, the unauliza nataka kufanya kitu fulani nifanyaje? ndo unaelekezwa. unaona mimi nilikuwa nataka kuweka reporting tools kwenye ki application changu nimesaidiwa link....nikishindwa kuzitumia nasema nimefanya hivi na hivi then lakini sijafanikiwa ni wapi nimekosea?
Mwalimu wangu wa kwanza wa programming alikuwa anaitwa Funajivu UDM (siyo spelling sahihi), yeye siku zote alikuwa anasisitiza ukija kwangu usiniambie hujui kitu, ila sema unachojua na umeshindwa kufanya nini! The same phisophy applies here. Tafuta vitabu na links usome at least basic syntax. Wengine tunategemea kutumia hii tread very seriously kujifunza so tafadhali msifanye jokes. Dubo please anza darasa bwana... i realy need to learn tricks and how to's from experts. Dont start with the basic please there are alot of materials which teachs basic java programming on the net. Nilikuwa najaribu ku appload kitabu cha teach yourself java for 21 days lakini kime fail ku appload. Anayetaka anipe address yake nitamtumia kwenye CD. Kina all the basics that a begginer needs......