JAVA expert, ready to help!

Dubo upo mtaaalam

Nataka can u guide me nifanyeje ntengenze page ambayo itaload java applet. Tuanzie hapo if u can hlep me

natanguliza shukrani e nashindwa kueleza hasa problem yangu may be twende stage kwa stage?
 
so mtaaalam unajua tool yoyote inaytumika kurahisisha kutengeza applet za board game. kwa java

Hope umeshaona ona game za online kama checkers na draft. hizo ziko complicated kama unaweza nijulishe nitengeze ka game kadogo tu katumia piece tatu.

Au nieleze tutorial au ode gani zinaweza kufanya webpage i load java applet alafu baada ya java applet itokee Rectagular shape kama hii

9dots0.gif

Kwanza unatakiwa usanifu "Game" lako na jinsi java class zako zitakavyokuwa zinawasiliana/ingiliana. Applet itakuwa ni user interface tu. logic zote za game zinatakiwa kuwa kwenye class tofauti.

Nikiangalia haraka haraka utakuwa na safu (tier) 2, safu ya kwanza ni business logic na itahusu jinsi ya kucheza mchezo wako na safu ya pili itakuwa "presenation layer" itakayo husika na Applet yako.

Kwahiyo anza kuandika mchezo wako jinsi utakavyo kuwa wakati huohuo andika java class zako za kwenye safu ya kwanza, ukimaliza hapo tutahamia safu ya pili.

Lesson: Applets (The Java™ Tutorials > Deployment)


Hapa nimekupa mfano mdogo wa namba, pia nimetua dhana ya MVC (Model-View-Controller)

//Business logic layer (Safu ya kwanza):Model part of MVC

package mchezo.model;

public class Namba {
private int dhamani=0;

public void ongeza() {
dhamani++;
}

public void punguza() {
dhamani--;
}

@Override
public String toString() {
return String.valueOf(dhamani);
}

}


//Presentation layer (Safu ya pili):View part of MVC
package mchezo.controller;

import mchezo.model.Namba;
import java.awt.event.ActionEvent;
import java.awt.event.ActionListener;
import mchezo.view.Dubo;

public class NambaController implements ActionListener {

private Namba model;
private Dubo view;

public NambaController(Namba model, Dubo view) {
this.model = model;
this.view = view;
view.getOngeza().addActionListener(this);
view.getPunguza().addActionListener(this);
}

public void actionPerformed(ActionEvent e) {
if (e.getSource() == view.getOngeza()) {
model.ongeza();
}
if (e.getSource() == view.getPunguza()) {
model.punguza();
}
view.setFieldText(model.toString());
}
}




//Presentation layer (Safu ya pili): Controller part of MVC
package mchezo.view;

import mchezo.controller.NambaController;
import mchezo.model.Namba;
import javax.swing.JApplet;
import javax.swing.JButton;
import javax.swing.JLabel;
import javax.swing.JPanel;


public class Dubo extends JApplet {

private JLabel field;
private JButton punguza;
private JButton ongeza;
private Namba namba;
private NambaController controller;

@Override
public void init() {
namba = new Namba();
field = new JLabel(namba.toString());
ongeza = new JButton("+");
punguza = new JButton("-");
controller = new NambaController(namba, this);
}

// TODO overwrite start(), stop() and destroy() methods

@Override
public void start(){
JPanel board = new JPanel();
board.add(ongeza);
board.add(punguza);
board.add(field);
add(board);
}

public void setFieldText(String text) {
return field.setText(text);
}

public JButton getOngeza() {
return ongeza;
}

public JButton getPunguza() {
return punguza;
}
public void destroy() {
controller = null;
}


}



//Presentation layer (Safu ya pili)
<html>
<head>
<title>Dubo wa JF</title>
<meta http-equiv="Content-Type" content="text/html; charset=UTF-8">
</head>
<body>
<applet code="mchezo.view.Dubo" width="200" height="300"/>
</body>
</html>

 
Siku za kazi niko busy sana ndio maana nilikuwa sijibu maoni yenu.
 
Kwanza unatakiwa usanifu "Game" lako na jinsi java class zako zitakavyokuwa zinawasiliana/ingiliana. Applet itakuwa ni user interface tu. logic zote za game zinatakiwa kuwa kwenye class tofauti.

Nikiangalia haraka haraka utakuwa na safu (tier) 2, safu ya kwanza ni business logic na itahusu jinsi ya kucheza mchezo wako na safu ya pili itakuwa "presenation layer" itakayo husika na Applet yako.

Kwahiyo anza kuandika mchezo wako jinsi utakavyo kuwa wakati huohuo andika java class zako za kwenye safu ya kwanza, ukimaliza hapo tutahamia safu ya pili.

code za mchezo zipo nime copy kutoka sehemu

import java.awt.Canvas;
import java.awt.Color;
import java.awt.Dimension;
import java.awt.Graphics;
import java.awt.event.MouseEvent;
import java.awt.event.MouseListener;
import java.util.Random;
import javax.swing.JFrame;
/**
* Classic Tic Tac Toe example in java.
* Uses Java GUI
*
* @author WolfCoder
* @author 11-08-2007
*/
public class TicTacToe extends JFrame
{
/**
* This is a Canvas where the game is drawn on.
* This is also where the game data resides.
*/
private static class GameBoard extends Canvas
{
private static final int EMPTY = 0,X_PIECE = 1,O_PIECE = 2;
private int[][] gameGrid = new int[3][3]; // Game grid
private boolean xTurn; // Is it X's turn?
private Random random; // Random generator
private boolean gameRunning; // Is a game in progress?
private int gameResult; // Result of game
/**
* Handles mouse input in the window.
*/
private class GameListener implements MouseListener
{
public void mousePressed(MouseEvent e){}
public void mouseClicked(MouseEvent e)
{
// Check the location of the click
int xPos = e.getPoint().x;
int yPos = e.getPoint().y;
// Check to see if it is in game board
if(xPos > 50 && yPos > 50 && xPos < 50+50*3 && yPos < 50+50*3)
{
// Check to see if game is running
if(gameRunning == false)
{
// New game
wipeGrid();
gameRunning = true;
repaint();
return;
}
// Check for an empty place
if(gameGrid[xPos/50-1][yPos/50-1] != EMPTY)
return; // Not empty, can't place piece
// Place a piece for the current turn and then alternate
if(xTurn)
{
gameGrid[xPos/50-1][yPos/50-1] = X_PIECE;
xTurn = false;
}
else
{
gameGrid[xPos/50-1][yPos/50-1] = O_PIECE;
xTurn = true;
}
// Check for a winning game
gameResult = gameOver();
if(gameResult != 0)
{
// Game has ended!
gameRunning = false;
}
// Cause an update
repaint();
}
}
public void mouseReleased(MouseEvent e){}
public void mouseEntered(MouseEvent e){}
public void mouseExited(MouseEvent e){}
}
/**
* Creates a new game board.
*/
public GameBoard()
{
// Set the size and background color
setPreferredSize(new Dimension(256,256));
setBackground(Color.WHITE);
// Add mouse listener
addMouseListener(new GameListener());
// Create a new random
random = new Random();
// Wipe grid
wipeGrid();
// Set game status
gameRunning = true;
}
/**
* Clears the game board of all pieces.
* This function also sets a random turn for the next player.
*/
public void wipeGrid()
{
// Wipes the entire grid
for(int y = 0;y < 3;y++)
for(int x = 0;x < 3;x++)
gameGrid[x][y] = EMPTY;
// Set player
if(random.nextInt(100) < 50)
xTurn = true;
else
xTurn = false;
}
/**
* Checks to see if the game is over.
*
* @return If the game is over or not. 0 = Not over, 1 = X wins, 2 = O wins, 3 = tie
*/
int gameOver()
{
// Check for a match
for(int x = 0;x < 3;x++) // Rows
if(gameGrid[x][0] == gameGrid[x][1] && gameGrid[x][1] == gameGrid[x][2])
return gameGrid[x][0];
for(int y = 0;y < 3;y++) // Columns
if(gameGrid[0][y] == gameGrid[1][y] && gameGrid[1][y] == gameGrid[2][y])
return gameGrid[0][y];
// Diagonal 1
if(gameGrid[0][0] == gameGrid[1][1] && gameGrid[1][1] == gameGrid[2][2])
return gameGrid[0][0];
if(gameGrid[2][0] == gameGrid[1][1] && gameGrid[0][2] == gameGrid[1][1])
return gameGrid[2][0];
// Check for tie
for(int y = 0;y < 3;y++)
for(int x = 0;x < 3;x++)
if(gameGrid[x][y] == 0)
return 0; // Not a tie because there is an empty space
// The game is a tie
return 3;
}
/**
* Paints the game board.
*/
public void paint(Graphics g)
{
// Clear old stuff out
g.clearRect(0,0,getWidth(),getHeight());
// Draw lines
g.setColor(Color.BLACK);
for(int y = 1;y < 3;y++)
g.drawLine(50,y*50+50,50+50*3,y*50+50);
for(int x = 1;x < 3;x++)
g.drawLine(x*50+50,50,x*50+50,50+50*3);
// Draw pieces
for(int y = 0;y < 3;y++)
{
for(int x = 0;x < 3;x++)
{
if(gameGrid[x][y] == X_PIECE)
{
g.setColor(Color.BLUE);
g.drawLine(50+x*50,50+y*50,50+x*50+50,50+y*50+50);
g.drawLine(50+50+x*50,50+y*50,50+x*50,50+y*50+50);
}
if(gameGrid[x][y] == O_PIECE)
{
g.setColor(Color.RED);
g.drawOval(50+x*50,50+y*50,50,50);
}
}
}
// Check for turns
g.setColor(Color.BLACK);
if(gameRunning)
{
// Turn message
if(xTurn)
g.drawString("It is player X's turn.",10,20);
else
g.drawString("It is player O's turn.",10,20);
}
else
{
// End message
if(gameResult == X_PIECE)
g.drawString("Player X won!",10,20);
if(gameResult == O_PIECE)
g.drawString("Player O won!",10,20);
if(gameResult == 3)
g.drawString("Tie game!",10,20);
// Prompt message
g.drawString("Click to start a new game.",10,40);
}
}
}
/**
* Starts the game of Tic Tac Toe.
* @param args This is ignored.
*/
public static void main(String[] args)
{
// Create the window for tic tac toe
TicTacToe ticTacToe = new TicTacToe();
ticTacToe.setTitle("Tic Tac Toe");
ticTacToe.setDefaultCloseOperation(JFrame.EXIT_ON_CLOSE);
// Add the game board
GameBoard gameBoard = new GameBoard();
ticTacToe.add(gameBoard);
// Pack and show
ticTacToe.pack();
ticTacToe.setLocationRelativeTo(null);
ticTacToe.setVisible(true);
}
}

Source Classic Tic Tac Toe - Java - Source Code | DreamInCode.net

Sasa sabau ya kutojua java vizuri ndo sijui nifanye nini cha zaidi niwezeshe game hiiii au code hizi ziwezekuwekwa kwenye applet yangu ya majaribio ili watu wawili walio kwenye net waweze kcheza.
 
<html>
<head>
<title>TicTacToe</title>
<meta http-equiv="Content-Type" content="text/html; charset=UTF-8">
</head>
<body>
<applet code="jf.TicTacToe" width="400" height="500"/>
</body>
</html>







package jf;

import java.awt.Canvas;
import java.awt.Color;
import java.awt.Dimension;
import java.awt.Graphics;
import java.awt.event.MouseEvent;
import java.awt.event.MouseListener;
import java.util.Random;
import javax.swing.JApplet;
import javax.swing.JFrame;

public class TicTacToe extends JApplet {
private GameBoard gameBoard;
@Override
public void init() {
gameBoard = new GameBoard();
}

// TODO overwrite start(), stop() and destroy() methods
@Override
public void start() {
add(gameBoard);
}

private static class GameBoard extends Canvas {

private static final int EMPTY = 0, X_PIECE = 1, O_PIECE = 2;
private int[][] gameGrid = new int[3][3]; // Game grid
private boolean xTurn; // Is it X's turn?
private Random random; // Random generator
private boolean gameRunning; // Is a game in progress?
private int gameResult; // Result of game

/**
* Handles mouse input in the window.
*/
private class GameListener implements MouseListener {

public void mousePressed(MouseEvent e) {
}

public void mouseClicked(MouseEvent e) {
// Check the location of the click
int xPos = e.getPoint().x;
int yPos = e.getPoint().y;
// Check to see if it is in game board
if (xPos > 50 && yPos > 50 && xPos < 50 + 50 * 3 && yPos < 50 + 50 * 3) {
// Check to see if game is running
if (gameRunning == false) {
// New game
wipeGrid();
gameRunning = true;
repaint();
return;
}
// Check for an empty place
if (gameGrid[xPos / 50 - 1][yPos / 50 - 1] != EMPTY) {
return; // Not empty, can't place piece
}// Place a piece for the current turn and then alternate
if (xTurn) {
gameGrid[xPos / 50 - 1][yPos / 50 - 1] = X_PIECE;
xTurn = false;
} else {
gameGrid[xPos / 50 - 1][yPos / 50 - 1] = O_PIECE;
xTurn = true;
}
// Check for a winning game
gameResult = gameOver();
if (gameResult != 0) {
// Game has ended!
gameRunning = false;
}
// Cause an update
repaint();
}
}

public void mouseReleased(MouseEvent e) {
}

public void mouseEntered(MouseEvent e) {
}

public void mouseExited(MouseEvent e) {
}
}

/**
* Creates a new game board.
*/
public GameBoard() {
// Set the size and background color
setPreferredSize(new Dimension(256, 256));
setBackground(Color.WHITE);
// Add mouse listener
addMouseListener(new GameListener());
// Create a new random
random = new Random();
// Wipe grid
wipeGrid();
// Set game status
gameRunning = true;
}

/**
* Clears the game board of all pieces.
* This function also sets a random turn for the next player.
*/
public void wipeGrid() {
// Wipes the entire grid
for (int y = 0; y < 3; y++) {
for (int x = 0; x < 3; x++) {
gameGrid[x][y] = EMPTY;
}
}
// Set player
if (random.nextInt(100) < 50) {
xTurn = true;
} else {
xTurn = false;
}
}

/**
* Checks to see if the game is over.
*
* @return If the game is over or not. 0 = Not over, 1 = X wins, 2 = O wins, 3 = tie
*/
int gameOver() {
// Check for a match
for (int x = 0; x < 3; x++) // Rows
{
if (gameGrid[x][0] == gameGrid[x][1] && gameGrid[x][1] == gameGrid[x][2]) {
return gameGrid[x][0];
}
}
for (int y = 0; y < 3; y++) // Columns
{
if (gameGrid[0][y] == gameGrid[1][y] && gameGrid[1][y] == gameGrid[2][y]) {
return gameGrid[0][y];
}
}
// Diagonal 1
if (gameGrid[0][0] == gameGrid[1][1] && gameGrid[1][1] == gameGrid[2][2]) {
return gameGrid[0][0];
}
if (gameGrid[2][0] == gameGrid[1][1] && gameGrid[0][2] == gameGrid[1][1]) {
return gameGrid[2][0];
}
// Check for tie
for (int y = 0; y < 3; y++) {
for (int x = 0; x < 3; x++) {
if (gameGrid[x][y] == 0) {
return 0; // Not a tie because there is an empty space
}// The game is a tie
}
}
return 3;
}

/**
* Paints the game board.
*/
public void paint(Graphics g) {
// Clear old stuff out
g.clearRect(0, 0, getWidth(), getHeight());
// Draw lines
g.setColor(Color.BLACK);
for (int y = 1; y < 3; y++) {
g.drawLine(50, y * 50 + 50, 50 + 50 * 3, y * 50 + 50);
}
for (int x = 1; x < 3; x++) {
g.drawLine(x * 50 + 50, 50, x * 50 + 50, 50 + 50 * 3);
}
// Draw pieces
for (int y = 0; y < 3; y++) {
for (int x = 0; x < 3; x++) {
if (gameGrid[x][y] == X_PIECE) {
g.setColor(Color.BLUE);
g.drawLine(50 + x * 50, 50 + y * 50, 50 + x * 50 + 50, 50 + y * 50 + 50);
g.drawLine(50 + 50 + x * 50, 50 + y * 50, 50 + x * 50, 50 + y * 50 + 50);
}
if (gameGrid[x][y] == O_PIECE) {
g.setColor(Color.RED);
g.drawOval(50 + x * 50, 50 + y * 50, 50, 50);
}
}
}
// Check for turns
g.setColor(Color.BLACK);
if (gameRunning) {
// Turn message
if (xTurn) {
g.drawString("It is player X's turn.", 10, 20);
} else {
g.drawString("It is player O's turn.", 10, 20);
}
} else {
// End message
if (gameResult == X_PIECE) {
g.drawString("Player X won!", 10, 20);
}
if (gameResult == O_PIECE) {
g.drawString("Player O won!", 10, 20);
}
if (gameResult == 3) {
g.drawString("Tie game!", 10, 20);
}
// Prompt message
g.drawString("Click to start a new game.", 10, 40);
}
}
}

/**
* Starts the game of Tic Tac Toe.
* @param args This is ignored.
*/
public static void main(String[] args) {
// Create the window for tic tac toe
JFrame ticTacToe = new JFrame();
JApplet app = new TicTacToe();
ticTacToe.setTitle("Tic Tac Toe");
ticTacToe.setDefaultCloseOperation(JFrame.EXIT_ON_CLOSE);
// Add the game board
app.init();
app.start();
ticTacToe.add(app);
// Pack and show
ticTacToe.pack();
ticTacToe.setLocationRelativeTo(null);
ticTacToe.setVisible(true);
}
}


Weka html file na jf folder sehemu moja. Ndani ya jf folder weka TicTacToe.java.
Hizi code zako zinaitaji wachezaji wote wawe kwenye computer moja.


Game unalotaka wewe la wachezaji wawili kwenye computer tofauti ni dhana ya distributing system. Unabidi utumie Java RMI/socket

Refactor out code zako kwenye java class ndogo ndogo iliziwe rahisi kusomeka na kuzihudumia.
 
<html>

Weka html file na jf folder sehemu moja. Ndani ya jf folder weka TicTacToe.java.
Hizi code zako zinaitaji wachezaji wote wawe kwenye computer moja.


Game unalotaka wewe la wachezaji wawili kwenye computer tofauti ni dhana ya distributing system. Unabidi utumie Java RMI/socket

Refactor out code zako kwenye java class ndogo ndogo iliziwe rahisi kusomeka na kuzihudumia.


Powa mkuu asante naendelea na hiyoya kompyutamoja nitaimodfy mbele ya safari. As dhumuni ni kujifunza. Nitafanya hiyo refactor pia.

Ssasa nimeweza kuona na kucheza mwenyewe kwa kutumia IDE ya Eclipse. Kwenye eclipse applet viewer inafanya kazi vizuri lakini kwenye browser bado applet inaleta black screen tu.

what can be the problem?
 
Powa mkuu asante naendelea na hiyoya kompyutamoja nitaimodfy mbele ya safari. As dhumuni ni kujifunza. Nitafanya hiyo refactor pia.

Ssasa nimeweza kuona na kucheza mwenyewe kwa kutumia IDE ya Eclipse. Kwenye eclipse applet viewer inafanya kazi vizuri lakini kwenye browser bado applet inaleta black screen tu.

what can be the problem?

Nimekosea hapo juu, unatakiwa kuweka TicTacToe.class kwenye jf.

Weka faili la Html na jf directory sehemu moja. Matharani "name{}" ni directory linaloitwa name, mpangilio wa faili na directory utakuwa kama ifatavyo.

{dubo.html, jf{TicTacToe.class}}
kumbuka tume configure html kuangalia kwenye jf.TicTacToe, html itaanza kutafuta jf directory kutokea pale ilipo, ikiishaipata itatafutaTicTacToe.class ndani ya jf directory
 
Nimekosea hapo juu, unatakiwa kuweka TicTacToe.class kwenye jf.

Htmal file lako na jf directory zinatakiwa kuwa sehemu moja. assume "name{}" ni directory linaloitwa name. file setu zitakuwa kama ifatavyo.

{dubo.html, jf{TicTacToe.class}}
kumbuka tume configure html kuangalia kwenye jf.TicTacToe, html itaanza kutafuta jf directory kutokea pale ilipo, ikiispata itatafutaTicTacToe.class ndani ya jf directory

Ok nimefanikiwa Na nimeweza kuweka my fisrt applet kwenye website yangu nayotumia kujifunza mambo mbali mbali. Unaweza kuicheki hapa http://mawasiliano.zxq.net/game.html

Aksante sana sasa nitajipa kazi ya kufanya haka ka game kawe bora zaidi na ikiwezekana watu wawili tofauti walio sehemu tofauti waweze kucheza.
 
Ok nimefanikiwa Na nimeweza kuweka my fisrt applet kwenye website yangu nayotumia kujifunza mambo mbali mbali. Unaweza kuicheki hapa Game

Aksante sana sasa nitajipa kazi ya kufanya haka ka game kawe bora zaidi na ikiwezekana watu wawili tofauti walio sehemu tofauti waweze kucheza.


Umeelewa mabadiliko niliyo fanya kwenye code zako za kwanza za JFrame ili zitumie JApplet? Hicho ndicho cha muhimu kwenye msaada wa leo
 
Umelewa mabadiliko niliyo fanya kwenye code zako za kwanza za JFrame ili zitumie JApplet? Hicho ndicho cha muhimu kwenye msaada wa leo

Mhhh ebu nipe darasa zaidi
nadhani nilikuwa nachemsha kwenye path ambayo file langu la HTML sikuweka katika directory sahihi
may be na ile na ile applet code path ndnai ya HTML ilikuwa ina makosa.
 
Mhhh ebu nipe darasa zaidi
nadhani nilikuwa nachemsha kwenye path ambayo file langu la HTML sikuweka katika directory sahihi
may be na ile na ile applet code path ndnai ya HTML ilikuwa ina makosa.

Achana na html, hiyo si mistari 5 tu.

Mabadiliko niliyofanya
kabla ya mabadiliko
public class TicTacToe extends JFrame{
baada ya mabadiliko
public class TicTacToe extends JApplet{
private GameBoard gameBoard;
Applet zinapokimbia (run) kwenye kivinjari (browser) hazitumii main() method, kwahiyo code za kwenye main method nimezihamishia kwenye init() na start() method za Applet hisipokuwa zile ambazo zinahusiana na JFrame tu. Sasa tunatengeneza object ya GameBoard na kuiongeza kwenye Applet kwenye start() method, badala ya kufanya hivyo kwenye main() method.
@Override
public void init() {
gameBoard = new GameBoard();
}

// TODO overwrite start(), stop() and destroy() methods
@Override
public void start() {
add(gameBoard);
}
 
Java Tip: Optimization Technique for Lists

The default size for a Java ArrayList class is 10. When an ArrayList reaches its capacity maximum (10), it increases its capacity by approximately half. That is why an ArrayList takes more time if it is not initialized with the proper size. When you add objects to an ArrayList and it reaches its maximum capacity, it creates another, bigger array (with a capacity of approximately 15) and copies the previous and new objects into the new array.
Obviously, creating a new array and copying objects is costly to performance. So, the best approach is to initialize the ArrayList with a proper size. To do this, you use constructors or ensureCapacity(int capacity), which results in better performance.
For example, use this code if you expect your ArrayList to store around 3000 objects:
List&ltString> str = new ArrayList<String>(3000)

Source: Java Tip: Optimization Technique for Lists
 
Nategemea kutoa mfululizo wa mada zinazohusu jinsi ya kusanifu Java application kwa kutumia 3-layers architecture.


Usanifu:
OOD, Design Patterns => GoF

Zana:
StartUML
NetBeans
JBoss4.2.3 /Glassfish 2.1/3

Implementation:
Database: MySQL
Data access layer: ORM=> Standard JPA via TopLink or hibernate
Business Logic Layer: Java/JEE, Seam Framework
Presentation layer: Application client => Java Swing, Web client => JSF,Facelet

Muda ukiiwepo tutangalia Jasper Report (iReport)

Mradi nitakao usanifu utahusu mfumo wa kifedha (Financial System). Wadau wanaweza wakapendekeza mradi mwingine pia.

Muhimu:
Tafadhari naomba wale wote wenyenia ya kufuatilia mada hizi wajiorodheshe hapa.
Mkifika 10 nitaanza kutoa mada.
 
Reporting to class.
Naomba safari iwajumuishe new comers to Java, at least mwanzo usiwe mgumu kwetu. Tumaomba maelezo ya kuweka working environment yaani software zipi tuwe tumeinstall ili kuweza kufuatilia mada.
 
Reporting to class.
Naomba safari iwajumuishe new comers to Java, at least mwanzo usiwe mgumu kwetu. Tumaomba maelezo ya kuweka working environment yaani software zipi tuwe tumeinstall ili kuweza kufuatilia mada.


Kila atakaye jiorodhesha inatakiwa ataje kiwango chake cha ufahamu wa Java ili nijue pakuanzia.
 
upload a video you tube hata ya sauti tu. ufanye aattacment hapa then kama kuna atakekuwa hajaelwa analiza maswali

unawza kugawanya section kwadk 10

ni maoni tu.
 
upload a video you tube hata ya sauti tu. ufanye aattacment hapa then kama kuna atakekuwa hajaelwa analiza maswali

unawza kugawanya section kwadk 10

ni maoni tu.

Wazo lako zuri, tatizo kuna watu wanafahamu sauti yangu na mimi sitaki kufahamika
 
Exper Dubo,
Mimi naelewa Java kiasi, natengeneza vi app vya kishkaji kwa Servlet na JSP kutumia netbeans na apache+tomcat, kwa sasa huwa natengeneza app kama hobby tu, kwa kuwa sijawahi kupata kazi ya maana ya kutengeneza app. Ila lengo langu ni kutengeneza app za ukweli. Nahisi sina knowledge ya kutosha ili kufikia lengo hilo. Hivyo kwa meseji hii najiandikisha rasmi kwenye hili darasa. Kwa haraka haraka naomba unisaidie hili. Ukiwa na form ya html au jsp yenye button zaidi ya moja unafanyaje kuzipa action tofauti. Yaani uki click button kila moja ende na mwelekeo wake! ni hilo tu kwa leo asante.
 
Exper Dubo,
Mimi naelewa Java kiasi, natengeneza vi app vya kishkaji kwa Servlet na JSP kutumia netbeans na apache+tomcat, kwa sasa huwa natengeneza app kama hobby tu, kwa kuwa sijawahi kupata kazi ya maana ya kutengeneza app. Ila lengo langu ni kutengeneza app za ukweli. Nahisi sina knowledge ya kutosha ili kufikia lengo hilo. Hivyo kwa meseji hii najiandikisha rasmi kwenye hili darasa. Kwa haraka haraka naomba unisaidie hili. Ukiwa na form ya html au jsp yenye button zaidi ya moja unafanyaje kuzipa action tofauti. Yaani uki click button kila moja ende na mwelekeo wake! ni hilo tu kwa leo asante.

Kwa haraka haraka inatakiwa jsp yako ijue jinsi ya kutenganisha actions zilitoka kwenye hiyo form. Ila kama utatumia jsp tunashauri jsp itumike kama presentation layer tu, na actions zote zifanyike kwenye servlet.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom