Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Mk Doctor wa JF naomba msaada wa kitaalum hivi ni hali ya kawaida kwa mtoto mdo wa ambeye hajafikisha mwaka mmoja kuwa anatokwa na jasho akiwa amelala hata kipindi cha baridi.
Kuna madhara yoyote?
Ushauri mkuu
Kuna madhara yoyote?
Ushauri mkuu