Jaribu kuwaza ingekuwa CHAKI..................... Ingekuwaje?

Sharo hiphop

JF-Expert Member
May 17, 2011
660
99
Ukweli napowaona wanaume wenzangu hasa wanaopenda sana wanawake/mademu huwa najiuliza maswali kibao kuhusu hizi lolipop! Utakuta mtu anajisifia eti ashatembea na wanawake kibao wakati mwingine hata zaidi ya 50, sasa ebu jiulize assume huyo jogoo wako anaewika kwa kila mwanamke angekuwa anaisha kama chaki za ubaoni ingekuwaje?
 
Ukweli napowaona wanaume wenzangu hasa wanaopenda sana wanawake/mademu huwa najiuliza maswali kibao kuhusu hizi lolipop! Utakuta mtu anajisifia eti ashatembea na wanawake kibao wakati mwingine hata zaidi ya 50, sasa ebu jiulize assume huyo jogoo wako anaewika kwa kila mwanamke angekuwa anaisha kama chaki za ubaoni ingekuwaje?
Ningemtuma mwanafunzi akachukue pale ofsn fasta. Au ningekuwa na mabox ya chalks kibao.
 
km zingekuwa chaki basi vitu vingi vingekuwa c km ambvyo vipo leo...ipo hvyo coz ndivyo ilivyo.
 
Je umewahi kujiuliza nyayo za miguu zingekuwa zinaisha kama soli za viatu, ungekuwa umebadili ngapi hadi leo hii?
 
Ukweli napowaona wanaume wenzangu hasa wanaopenda sana wanawake/mademu huwa najiuliza maswali kibao kuhusu hizi lolipop! Utakuta mtu anajisifia eti ashatembea na wanawake kibao wakati mwingine hata zaidi ya 50, sasa ebu jiulize assume huyo jogoo wako anaewika kwa kila mwanamke angekuwa anaisha kama chaki za ubaoni ingekuwaje?

chaki za ubaoni zikiisha ni wapi huenda kuzipata nyingine?.............................hilo halingemfanya ache ngono kwa sababu angelizinunua za akiba............na mambo yote yangeliendelea mdundo moja kwa zote.....................
 
KAMA INGALIKUWA KAMA CHAKI BASI KUNGELIKUWA NA VIWANDA VINGI VYA KUVITENGENEZA.Mhhhh,hili swali ni km vile unajenga nyumba angani,coz ni kitu kisichowezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom