Japo hakuna kupokezana: Kiukweli, kihaki, kihalali na ki-Muungano, 2015 Si Zamu ya Zanzibar?

Wanabodi,

Tanzania ni Jamhuri ya Muungano wa nchi mbili mbili, iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Jamhuri ya Tanganyika, zikaunda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambapo baadaye Tanyanyika ukauliwa kinyemela na kuunda jina la Tanzania.

Muungano huu umeleta mataifa mawili yenye haki sawa na hadhi sawa ndani ya muungano. Moja ya taasisi kubwa kabisa za Muungano ni taasisi ya urais, "presidential institution" ambayo inapaswa kushikwa kwa kupokezana baina ya Tanganyika na Zanzibar.

Japo hakuna utaratibu rasmi wa kupokezana kikatiba, bali busara ya kawaida imekuwa ikitumika kwenye hili, kwa rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julias Kambarage Nyerere, baada ya kutawala kwa miaka 23, alijenga mazingira kwa rais atakayemfuata atoke Zanzibar, na hili lilifanyika kwa rais Ali Hasssan Mwinyi kumpokea Kambarage!.

Mwinyi alipomaliza muda wake, masingira yale yale ya kupokezana yalifanyika na akaingia Benjamin Mkapa kutoka bara.
Kipindi chote cha Mkapa ilijulikana atafuatiwa na mtu kutoka Zanzibar, na mtu mwenyewe alijulikana fika!, na kwa wanaojua mambo ya ndani, jikoni au chumbani, uvunguni kabisa wanajua kilichotokea, labda niwadokezee kidogo tuu toka kwa huyu mwana jf mwenzetu. Mkuu Utaki Unaacha, katika uzi wake huu
JK, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza .. amesema na hapa ninamnukuu


Hivi ndivyo zamu ya Zanzibar ilivyopokwa!.

Hivyo sasa kuelekea 2015, japo haijaandikwa popote, lakini tukubali, tukatae, Japo Hakuna Kupokezana!, Kiukweli, KiHaki, Kihalali na Ki Muungano, 2015 Ni Zamu ya Zanzibar!.

CCM has a duty kuteua Wanzanzibar wenye sifa, uwezo na kukubalika kwa urais wa JMT mmoja wapo ni Dr. Ali Mohamed Shein, tena huyu ni mtu asiye na makuu, mpole, mnyenyekevu, mstahilivu, muadilifu, asiye na makundi na mwenye uwezo wa kudumisha muungano.

Akipendekezwa yeye, ata defuse makundi yote na migawanyiko yote ndani ya CCM!, CCM itakuwa ni moja stronger than ever!.

Tatizo litabaki ni kama wapinzani wataweza kuungana na kum field mgombea mmoja, na itokee awe ni Mkristo!.

Baadhi wa Wakristo walioko CCM ambao walikumbwa sumu ya udini wa dhana ya urais ni kupokezana kati ya Mkristo na Muislamu, wataona this time CCM has not been fair kwa dini yao, baada ya Muislamu, wamewaletea tena Muislamu!, watampiga chini na CCM yake!. Ikitokea CCM isimsimamishe Mzanzibari, then the only reason ni kitisho hiki!.

Nauliza, Jee CCM itawatendea haki Watanzania kwa kuwasimamishia mgombea kutoka Zanzibar?! au itaendelea kupandikiza sumu ya udini kwa ku bow down kwenye the fact and fallacy ya zamu za kupokezana kwa dini?!.

Is in not
Kiukweli kabisa, Kihaki kabisa, Kihalali kabisa na kwa lengo la kudumisha, Muungano, 2015 ni Zamu halali ya Zanzibar kutupatia Rais wa JMT?!.

Pasco

Tanganyika si shamba la bibi!
Kutawala Tanganyika tuachieni wenye nchi, nchi yenu Zanzibar jikiteni huko.
Ni kama unataka zamu ya kuingia unyumba na mke wa mtu.
 
Maada yako inawahusu CCM tu, kama umeshaona kuwa CCM ndiyo itakayotoa Rais kwenye uchaguzi 2015. Kwa maana nyingine unataka CDM, CUF, NCCR-MAGEUZI pia ziweke wagombea kutoka Zanzibar.

Kwa kifupi tulipofika hayo mazoea inabidi tuyasahau.

Katika nchi zenye misingi imara ya kiutawala inaweza isiwe ''issue'' rais anatokea wapi lakini sio Tanzania yetu.

Angalia mfano wa United States, huwezi kukuta eti state moja inalalamika kwamba ni zamu yao kutoa Rais....

Katika Muungano unaotugawa zaidi na sio kutuunganisha sioni Mzanzibari kuwa Rais Wa JMT....

Ninajiona mgeni zaidi nikiwa Zanzibar kuliko nikiwa Kenya..........
Mkuu Jerrytz, asante kwa hii, kwa hali ya kisiasa hapa nchini kwetu ilivyo sasa, kama wewe ni realist, then utaungana ni mimi kuwa kwa urais wa JMT kwa mwaka 2015, then unazungumzia CCM!. Mimi mwenyewe ni mwana CCM, ila ni mwana CCM mwana demokrasia ya kweli, tulipoanza vyama vingi ile 1992, ilibidi vyama vyote vivunjwe tuanze moja kwenye level ground!. Lakini tulipoanza mfumo wa vyama vingi, CCM kilisajiliwa kama chama numberi 1, na kilianza na mali zake zote kilichowapurura Watanzania kwa zaidi ya miaka 30!, hivyo mpaka hii leo, upinzania uliopo bado ni upinzani nyoro nyoro, hauwezi kuondoa CCM madarakani hiyo 2015 unless CCM wafanye kosa la kutomsimamisha "yule jamaa yangu", then huyo jamaa a defect to opposition, Watanzania tutamchangua, na ndio itakuwa the only way wapinzani kuweza kwenda Ikulu, 2015, vinginevyo kwa hii hali ilivyo sasa, 2015 ni CCM tena!.

Tanzania bado hatuna any serious opposition!, Chama serious kiukweli kilikuwa ni Chadema tuu na CUF kwa Zanzibar!, Waasisi wa Chadema, kwa kutambua uwezo wa watu, kwa nia njema kabisa, wakatengeneza katiba nzuri, yenye threshold ya ukomo wa uongozi kuishia vipindi viwili vya miaka mitano mitano, jumla ni miaka 10. Wakaja wajanja ile 2006, wakafanya marekebisho ya Katiba ya Chadema, wakakinyofoa kipengele hicho kinyemela, wakapeleka hayo marekebisho kwa Msajili na kuelezea ati ile ni katiba mpya!.

Sisi kama watazamaji tuu tulio nje ya box, tukawaeleza hao wenzetu kuwa hao viongozi wao, ni kweli wamefanya makubwa, lakini hapo walipoifikisha Chadema ndio wamefikia optimum ya uwezo wao, they can not do anything more than what they've already done, ili Chadema kiweze kushika dola 2015, kilihitaji dereva wa kukipaisha!, dereva wa kwanza alikikokota, akaja aliyekiendesha, alipoingia Mbowe yeye ni dereva bingwa wa mwendo kasi, hivyo amekiendesha Chadema na kukua kwa kasi ya ajabu, ila mwisho wao ni kasi tuu, hawawezi kukipaisha into the next level, sasa kilihitaji dereva wa kuipaisha, madereva waliopo ndio wale wale wa mwindo kasi, wamechaguliwa juzi na kuanza na maandamano!, the truth is they are driving it to its death!, ndege ikiishakuwa kwenye run way na imespeed ready to take of, it has to take off, or it crash!, Chadema sasa kinaelekea kwenye crash kabla hata ya take off!.

Hivyo kwa 2015, tunazungumzia CCM!.

Asante.

Pasco.
 
Hilo ndio la maana,serikali ya Muungano itapokoma kuwa Serikali ya Tanganyika. Kuna taasisi ambazo sio za Muungano na viongozi wake wanachaguliwa na Rais wa JMT sasa itakuwaje Mzanzibari afanye maamuzi kwa ajili ya Watanganyika?

Hata kwenye sherehe za Uhuru wa Tanganyika, itakuwaje Mzanzibar aongoze sherehe zisizomhusu?

Nashangaa watu wazima wapo Dodoma lakini wanakuwa wabishi kukubali hali halisi. Kwa tulipofika ni aidha Serikali moja au Serikali tatu.

Kaka umenena vyema kabisa. Mm najiuliza, hv iweje zanzibar itutolee rais wa kutuongoza sisi tanganyika? Kwangu mm naona hilo haliwezekani mpaka pale tutajapokubali kuitenganisha tanganyika kutoka kwenye koti la muungano ambapo sasa tunaweza kukubaliana kuwa kwa kuwa kila nchi yaani tanganyika na zanzibar ina rais wake, basi rais wa muungano anaweza kutoka bara au zanzibar kwa kupokezana. Lkn kwa jinsi ilivyo sasa kutokana na muundo wa muungano wetu haitakaa iwe rahisi tanganyika kuongozwa na rais atokaye zanzibar, hayo yaliwezekana tu kipindi cha mfumo wa chama kimoja ndo akapatikana mwinyi na siyo sasa.
 
Mkuu umemaliza kila kitu. Asante



Mkuu Jerrytz, asante kwa hii, kwa hali ya kisiasa hapa nchini kwetu ilivyo sasa, kama wewe ni realist, then utaungana ni mimi kuwa kwa urais wa JMT kwa mwaka 2015, then unazungumzia CCM!. Mimi sio mwana CCM, bali ni mwana demokrasia ya kweli, tulipanza anza vyama vingi ile 1992, ilibidi vyama vyote vivunjwe tuanze moja kwenye level ground!. Lakini tulipoanza mfumo wa vyama vingi, CCM kilisajiliwa kama chama numberi 1, na kilianza na mali zake zote kilichowapurura Watanzania kwa zaidi ya miaka 30!, hivyo mpaka hii leo, upinzania uliopo bado ni upinzani nyoro nyoro, hauwezi kuondoa CCM madarakani hiyo 2015 unless CCM wafanye kosa la kutomsimamisha "yule jamaa yangu", then huyo jamaa a defect to opposition, Watanzania tutamchangua, na ndio itakuwa the only way wapinzani kuweza kwenda Ikulu, 2015, vinginevyo kwa hii hali ilivyo sasa, 2015 ni CCM tena!.

Tanzania bado hatuna any serious opposition!, Chama serious kiukweli kilikuwa ni Chadema tuu na CUF kwa Zanzibar!, Waasisi wa Chadema, kwa kutambua uwezo wa watu, kwa nia njema kabisa, wakatengeneza katiba nzuri, yenye threshold ya ukomo wa uongozi kuishia vipindi viwili vya miaka mitano mitano, jumla ni miaka 10. Wakaja wajanja ile 2006, wakafanya marekebisho ya Katiba ya Chadema, wakakinyofoa kipengele hicho kinyemela, wakapeleka hayo marekebisho kwa Msajili na kuelezea ati ile ni katiba mpya!.

Sisi tusio na vyama kama watazamaji tuu tulio nje ya box, tukawaeleza hao wenzetu kuwa hao viongozi wao, ni kweli wamefanya makubwa, lakini hapo walipoifikisha Chadema ndio wamefikia optimum ya uwezo wao, they can not do anything more than what they've already done, ili Chadema kiweze kushika dola 2015, kilihitaji dereva wa kukipaisha!, dereva wa kwanza alikikokota, akaja aliyekiendesha, alipoingia Mbowe yeye ni dereva bingwa wa mwendo kasi, hivyo amekiendesha Chadema na kukua kwa kasi ya ajabu, ila mwisho wao ni kasi tuu, hawawezi kukipaisha into the next level, sasa kilihitaji dereva wa kuipaisha, madereva waliopo ndio wale wale wa mwindo kasi, wamechaguliwa juzi na kuanza na maandamano!, the truth is they are driving it to its death!, ndege ikiishakuwa kwenye run way na imespeed ready to take of, it has to take off, or it crash!, Chadema sasa kinaelekea kwenye crash kabla hata ya take off!.

Hivyo kwa 2015, tunazungumzia CCM!.

Asante.

Pasco.
 
Wazanzibari ni wanafiki na wazandiki hatuwataki wabaki huko huko TUMBATU

mtake mstake huh ndio muhula WA mwisho kwa ccm kutawala Tz. 50yrs kama hujafanya kitu huwezi kuokoka. Ccm byebye!! tumechoka na nguo ya virakaviraka tunahitaji nguo MPYA yenye kutuletea na kurudisha heshma yetu. mtaumia lkn jikazeni vumilieni tu.
 
Hv ni akili?zanzibar wana katiba na baraza lao na rais wao!2kifanya leo rais wa zanzibar awe mtanganyika kitaeleweka kweli?si ni nchi moja?
Ila rais wa tz awe mzanzibar poa 2,ckubaliani na hili na ndio maana wenye akili 2nataka s3!
Kama mmeshindwa wekeni s1,lakini s2 ni upuuzi usiokuwa na sababu!
 
Labda niulize tu swali la kizushi:
Kwa kuwa ardhi ya Zanzibar sio suala la Muungano na ardhi ya Tanganyika Pekee ndio ya Muungano inayoweza kumilikiwa na mtu toka Zanzibar bila masharti ; Je, Mtu kutoka Tanganyika atakuwaje rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika wakati hana ardhi kule Zanzibar na ardhi ile sio ya muungano ?
Mtu sahihi kuitawala Serikali ya Muungano ni Mtu kutoka Zanzibar kwani anamiliki ardhi zote mbili,Tanganyika na Zanzibar.

Mtanganyika kujiita rais wa jamhuri na kuitawala zanzibar ni ukoloni mambo leo.Haikubaliki!!!!
AU NDIO MAANA NYERERE ALICHANGANYA UDONGO YEYE MWENYEWE?
 
Wanabodi,

Tanzania ni Jamhuri ya Muungano wa nchi mbili mbili, iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Jamhuri ya Tanganyika, zikaunda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambapo baadaye Tanyanyika ukauliwa kinyemela na kuunda jina la Tanzania.

Muungano huu umeleta mataifa mawili yenye haki sawa na hadhi sawa ndani ya muungano. Moja ya taasisi kubwa kabisa za Muungano ni taasisi ya urais, "presidential institution" ambayo inapaswa kushikwa kwa kupokezana baina ya Tanganyika na Zanzibar.

Japo hakuna utaratibu rasmi wa kupokezana kikatiba, bali busara ya kawaida imekuwa ikitumika kwenye hili, kwa rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julias Kambarage Nyerere, baada ya kutawala kwa miaka 23, alijenga mazingira kwa rais atakayemfuata atoke Zanzibar, na hili lilifanyika kwa rais Ali Hasssan Mwinyi kumpokea Kambarage!.

Mwinyi alipomaliza muda wake, masingira yale yale ya kupokezana yalifanyika na akaingia Benjamin Mkapa kutoka bara.
Kipindi chote cha Mkapa ilijulikana atafuatiwa na mtu kutoka Zanzibar, na mtu mwenyewe alijulikana fika!, na kwa wanaojua mambo ya ndani, jikoni au chumbani, uvunguni kabisa wanajua kilichotokea, labda niwadokezee kidogo tuu toka kwa huyu mwana jf mwenzetu. Mkuu Utaki Unaacha, katika uzi wake huu
JK, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza .. amesema na hapa ninamnukuu


Hivi ndivyo zamu ya Zanzibar ilivyopokwa!.

Hivyo sasa kuelekea 2015, japo haijaandikwa popote, lakini tukubali, tukatae, Japo Hakuna Kupokezana!, Kiukweli, KiHaki, Kihalali na Ki Muungano, 2015 Ni Zamu ya Zanzibar!.

CCM has a duty kuteua Wanzanzibar wenye sifa, uwezo na kukubalika kwa urais wa JMT mmoja wapo ni Dr. Ali Mohamed Shein, tena huyu ni mtu asiye na makuu, mpole, mnyenyekevu, mstahilivu, muadilifu, asiye na makundi na mwenye uwezo wa kudumisha muungano.

Akipendekezwa yeye, ata defuse makundi yote na migawanyiko yote ndani ya CCM!, CCM itakuwa ni moja stronger than ever!.

Tatizo litabaki ni kama wapinzani wataweza kuungana na kum field mgombea mmoja, na itokee awe ni Mkristo!.

Baadhi wa Wakristo walioko CCM ambao walikumbwa sumu ya udini wa dhana ya urais ni kupokezana kati ya Mkristo na Muislamu, wataona this time CCM has not been fair kwa dini yao, baada ya Muislamu, wamewaletea tena Muislamu!, watampiga chini na CCM yake!. Ikitokea CCM isimsimamishe Mzanzibari, then the only reason ni kitisho hiki!.

Nauliza, Jee CCM itawatendea haki Watanzania kwa kuwasimamishia mgombea kutoka Zanzibar?! au itaendelea kupandikiza sumu ya udini kwa ku bow down kwenye the fact and fallacy ya zamu za kupokezana kwa dini?!.

Is in not
Kiukweli kabisa, Kihaki kabisa, Kihalali kabisa na kwa lengo la kudumisha, Muungano, 2015 ni Zamu halali ya Zanzibar kutupatia Rais wa JMT?!.

Pasco

Nafanya tuu rejea, baada ya kusikia sasa kuna harakati mpya za chini chini za Chama cha Mapinduzi, kuutoa ugombea urais wa 2015 wa chama hicho, kama asante kwa kijana mmoja wa zamani wa hapa hapa Bara!, nakumbushia kuwa 2015 ni zamu ya Mzanzibari!, kama issue ni lazima awe Mkiristu, then its fine!, Jaji Agustino Ramadhani yupo, ni Mzanzibari na ni Mkristu!, unless ile dhana ya "Akiwa ni Mkristu, basi ni lazima awe Mkatoliki!" ni kweli!.

Pasco
 
Wanabodi,

Tanzania ni Jamhuri ya Muungano wa nchi mbili mbili, iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Jamhuri ya Tanganyika, zikaunda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambapo baadaye Tanyanyika ukauliwa kinyemela na kuunda jina la Tanzania.

Muungano huu umeleta mataifa mawili yenye haki sawa na hadhi sawa ndani ya muungano. Moja ya taasisi kubwa kabisa za Muungano ni taasisi ya urais, "presidential institution" ambayo inapaswa kushikwa kwa kupokezana baina ya Tanganyika na Zanzibar.

Japo hakuna utaratibu rasmi wa kupokezana kikatiba, bali busara ya kawaida imekuwa ikitumika kwenye hili, kwa rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julias Kambarage Nyerere, baada ya kutawala kwa miaka 23, alijenga mazingira kwa rais atakayemfuata atoke Zanzibar, na hili lilifanyika kwa rais Ali Hasssan Mwinyi kumpokea Kambarage!.

Mwinyi alipomaliza muda wake, masingira yale yale ya kupokezana yalifanyika na akaingia Benjamin Mkapa kutoka bara.
Kipindi chote cha Mkapa ilijulikana atafuatiwa na mtu kutoka Zanzibar, na mtu mwenyewe alijulikana fika!, na kwa wanaojua mambo ya ndani, jikoni au chumbani, uvunguni kabisa wanajua kilichotokea, labda niwadokezee kidogo tuu toka kwa huyu mwana jf mwenzetu. Mkuu Utaki Unaacha, katika uzi wake huu
JK, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza .. amesema na hapa ninamnukuu


Hivi ndivyo zamu ya Zanzibar ilivyopokwa!.

Hivyo sasa kuelekea 2015, japo haijaandikwa popote, lakini tukubali, tukatae, Japo Hakuna Kupokezana!, Kiukweli, KiHaki, Kihalali na Ki Muungano, 2015 Ni Zamu ya Zanzibar!.

CCM has a duty kuteua Wanzanzibar wenye sifa, uwezo na kukubalika kwa urais wa JMT mmoja wapo ni Dr. Ali Mohamed Shein, tena huyu ni mtu asiye na makuu, mpole, mnyenyekevu, mstahilivu, muadilifu, asiye na makundi na mwenye uwezo wa kudumisha muungano.

Akipendekezwa yeye, ata defuse makundi yote na migawanyiko yote ndani ya CCM!, CCM itakuwa ni moja stronger than ever!.

Tatizo litabaki ni kama wapinzani wataweza kuungana na kum field mgombea mmoja, na itokee awe ni Mkristo!.

Baadhi wa Wakristo walioko CCM ambao walikumbwa sumu ya udini wa dhana ya urais ni kupokezana kati ya Mkristo na Muislamu, wataona this time CCM has not been fair kwa dini yao, baada ya Muislamu, wamewaletea tena Muislamu!, watampiga chini na CCM yake!. Ikitokea CCM isimsimamishe Mzanzibari, then the only reason ni kitisho hiki!.

Nauliza, Jee CCM itawatendea haki Watanzania kwa kuwasimamishia mgombea kutoka Zanzibar?! au itaendelea kupandikiza sumu ya udini kwa ku bow down kwenye the fact and fallacy ya zamu za kupokezana kwa dini?!.

Is in not
Kiukweli kabisa, Kihaki kabisa, Kihalali kabisa na kwa lengo la kudumisha, Muungano, 2015 ni Zamu halali ya Zanzibar kutupatia Rais wa JMT?!.

Pasco


Atatoka cuf maalimu Seif ni mzanzibari
Kwani CCM haiwezi teua mkristo kutoka zanzibar au hakuna wakristo
Je kati ya dini na uzanzibari wa mgombea kipi cha muhimu zaidi kwako au uzanzibari maana yake dini ya kiislamu?rudi ufafanue
 
Inasemekana raisi wa jamuhuru havuki bahari sasa raisi huyo wajamuhuri akitokea zanzibar itakuweje ina maana watanganyika mambo yao yatashughulikiwa na mzanzibar je watubali au utakuwa tumepewa nguvu ya kudai serekali iliyofichwa (tanganyika)
 
Mgombea kutoka zanzibar ni vigumu kushinda ,iliwezekana kipindi cha chama kimoja .Ukimweka mzanzibari watu wanachukulia negative wanawahusisha na ulegelege ni ikiwa ni muislamu unaleta challenge mpya ya zamu ya dini hapa usitarajie upinzani wa maneno wakristo wanaweza ka kimya ila kukawa na kampeni ya wiki moja tu chafu ikamnyima kura huyo mgombea. Siasa za sasa ni ngumu kwelikweli maana muungano wenyewe unajadiliwa.Fikiria baada ya Nyerere na mwinyi viongozi kutoka bara hawajiamini kutembelea na kuhutubia zanzibar hawa ni raisi wa jamhuri na waziri mkuu ni kama wanaikubali kuwa zanzibar ni nchi huru na jamhuri. Mkapa,Kikwete,Pinda Lowasa wote hawakatishi zanzibar sembuse Pemba?Kila neno zanzibar linachambuliwa.
 
Mwanzo nilidhani unataka mzanzibari awe rais lakini baadae nikaona unataka mwislamu awe raisi au unataka mkristo asiwe raisi. Hivi huu udini wako utaisha lini? Hivi uliambiwa lini kuwa zanzibari kuna waislamu tu au wanaofaa uraisi huko ni waislamu tu? Labda ingekuwa vema kutetea wanzibari kwa maana ya muungano lakini ungefikiri kidogo kuwa zanzibari ina watu wa dini tofauti, mbali na hao ulozoea, waislamu na wakristo. Uchache wa wao watu wa tabaka au imani fulani hakuwafanyi wasistahili kuongoza nchi yao, kama wana sifa za kuongoza. Tanzania ya leo hatutaki kiongozi yoyote kwasababu ya dini yake bali kwa ubora wake. Tumeshaona waliopita na waliopo kuwa kwa unafiki wanadiriki hata kuapa wakishika vitabu vya dini ilhali ni mafisadi na rafiki za mafisadi huku wananchi wakiteseka na kufa kwa dhiki kadha wa kadha. Waambie CCM wenzako, waislamu hawatatumika tena kama daraja na wakristo hawatatumika tena kama vipaza sauti. Hila za kutugawa kwa udini hazifui dafu tena. Ufisadi wa escrow una wakristo, waislamu mahujaji,na hata makarasinga au wa ahmadia. dhamira yetu ni ukawa, maneno yetu ni ukawa na vitendo vyetu ni ukawa. Si nchi bali wananchi kwanza. ushauri wangu mjiandae kisaikolojia kuondoka kwa amani. mjifunze kwa mzee Kaunda na muwe watulivu wakati wananchi wakirudishiwa tumaili lililopotea.
 
Nafanya tuu rejea, baada ya kusikia sasa kuna harakati mpya za chini chini za Chama cha Mapinduzi, kuutoa ugombea urais wa 2015 wa chama hicho, kama asante kwa kijana mmoja wa zamani wa hapa hapa Bara!, nakumbushia kuwa 2015 ni zamu ya Mzanzibari!, kama issue ni lazima awe Mkiristu, then its fine!, Jaji Agustino Ramadhani yupo, ni Mzanzibari na ni Mkristu!, unless ile dhana ya "Akiwa ni Mkristu, basi ni lazima awe Mkatoliki!" ni kweli!.

Pasco

Pana jambo moja watanzania yapasa wajifunze kwa katiba pendekezwa kutakuwa na makamo wawili makamo wa kwanza kutoka zanzibar na wapili kutoka bara. Huyu makamo wa kwanza ni raisi wa zanzibar na huyu wa pili ni waziri mkuu. Hii imewekwa mahsusi na bmk ccm hao wakijua ugumu utakaokuwepo kwa zanzibar kutoa raisi kiukweli ni kama imeondolewa.Fidia zanzibar iliyopewa ni sharti la mgombea uraisi kupata asilimia 15 kutoka zanzibar.Iwapo raisi atatokaa zanzibar ,makamo wa raisi wa kwanza atakuwa mzanzibari na waziri mkuu makamo wa pili wa raisi hili ni jambo la hatari kwa tanganyika uukiangalia balance of power. Kwa haya yote naona kama muungano hautazidi miaka ishirini ijayo baada ya idadi ya wazanzibari kuongezeka pamoja na maendeleo yao ya uchumi na elimu ambayo yanaweza kuwa makubwa kuliko bara kama wataendelea kama sasa na bara wakaendelea na siasa chafu na rushwa.
 
Back
Top Bottom