January.....na kelele za kila mwaka..

Tanzania bado ni nchi changa sana kiuchumi
bado inahitaji mitaji itoke nje ije ndani
kutoa mitaji hapa na kuipeleka nje ndo itakufa kabisa.

hujakosea sana
mimi naona tuishi kama wahindi tu
tuanze kuinvest huko huko kwa Obama
unaishi bongo but unanunua stocks za google na chevron hivi
na unakuwa kwenye us economy ikibidi,na tax returns za huko huko...lol
hali ikiruhusu....
 
Tanzania bado ni nchi changa sana kiuchumi
bado inahitaji mitaji itoke nje ije ndani
kutoa mitaji hapa na kuipeleka nje ndo itakufa kabisa.

sizungumzii mitaji mikubwa
hivyo hivyo vidola 2000 vyetu tuviwekeze nje
hata huko kenya aisee
hii nchi hata sijui itaamka lini....inflation now nasikia 40 asilimia
 
nchi haiwezi kuamka
hadi watz tuamke

hatuna vission wala mission
Inflation ni kubwa mno
wanajaribu kuficha ficha
lakini inaweza kuwa 40 kwa sasa.
sizungumzii mitaji mikubwa
hivyo hivyo vidola 2000 vyetu tuviwekeze nje
hata huko kenya aisee
hii nchi hata sijui itaamka lini....inflation now nasikia 40 asilimia
 
Boss usitake kulinganisha Tz na Ke. . . hata Wakei wako juu zaidi yetu, achilia mbali maendeleo ya nchi yao.

najua lakini kiwango ndo kinaudhi

wanatuaaacha saaana......
 
Kuna vitu vingi vinachangia hapa

Kuanzia utashi wa kisiasa
mfumo
elimu na exposure
culture

lakini nadhani utashi wa kisiasa lina nafasi kubwa zaidi

Siasa inaweza ikawekwa sawa kwa msukumo wa wananchi. . . tatizo kubwa kuliko yote ni sisi wananchi kuwa kama makondoo. Tunakubali kusukumwa ndio maana tunasukumwa, unadhani tungekua na sauti hao viongozi wasingefanya wanayotakiwa kufanya?
 
ukiacha wenye tax returns naona unaomba jamvi msibani lol
Maelewano ndani ya nyumba ni madogo sana mwezi huu, kwa kifupi Watanzania tunaishi kwa kuungaunga tumepigika ila hatukubali kupitwa na mambo, otherwise asilimia kubwa ya wazazi ilipaswa watoto wasomeshwe kwenye Public school lakini ndio hivyo tena, ila hili swala la Janualy nimeliona hata Sweden lakini tofauti wenzetu hawaishiwi kabisa na hawajui kitu kinaitwa ada ya shule.
 
January ni kama wakati wowote wa mwaka. Wengi wanalalamika sababu ndiyo mwanzo wa mwaka na wanakhofu juu ya mwaka utakavyo kuwa hasa kwa nchi kama TZ. Unpredictable. Ugumu wa maisha waweza kuzidi ziada ya matarajio. Ni kujihami kibinadamu kwa kutoa kisingizio cha ada ya shule, TRA etc. Lakini ni kushindwa kujielezea na khofu ya kueleweka unaposema ukweli ndiyo inakutuma kutoa visingizio.
 
January kwangu ni mwezi wenye furaha, nafikiri kwa kuwa sina majukumu zaidi ya kujinunulia nguo za krismas na za vitoto navyovipenda....ni mwezi nakuwa nimetoka nyumbani,nimepewa hela ya kuanzia mwaka, nimetoka kuwa na familia yangu,kuona ndugu zangu na kupokea vizawadi na baraka kutoka kwa baba,mama,bibi, na babu....ndo maana sitaki kukua....watu wazima mna kazi sana....lol
 
Back
Top Bottom