Wakuu,
Nimekutana na Toyota Coaster imebeba wabunge wa kamati ya Nishati na madini akiwemo January hapa maeneo ya upanga wakiwa wanaelekea Morogoro road. Inasemekana wapo katika jitihada za kutembelea mitambo ya umeme na saa hizi wanaelekea Songas halafu Wartsilla.
Mwenye habari kamili atujuze.
Nimekutana na Toyota Coaster imebeba wabunge wa kamati ya Nishati na madini akiwemo January hapa maeneo ya upanga wakiwa wanaelekea Morogoro road. Inasemekana wapo katika jitihada za kutembelea mitambo ya umeme na saa hizi wanaelekea Songas halafu Wartsilla.
Mwenye habari kamili atujuze.