Nadhani ni Kushauri . lakini ukiangalia kwa hapa RA anamkono hivyo inaweza kutumika kufanya maamuzi ya serikaliNi nini mamlaka ya Kamati?
Mwenzangu hata mimi naona ni bora tu waiwashe maana haya mambo hata hayaheleweki.Heri tu waiwashe. mimi nimechoka kulala giza
mbona ile mitambo kampuni ya DOWANS walishaiuza kwa kampuni moja ya Cyprus ..... labda hiyo kampuni ya Cyprus waingie nayo mikataba ...yatakuwa yale yale .... richmond kamrithisha dowans mkataba...halafu dowans kauza mitambo kwa kampuni ya Cyprus..je aliyenunua sio tapeli...?