January, Mnyika wapendekeza kutumika kwa mitambo ya Dowans kupunguza mgao wa umeme

Hivi hakuna sheria ya kuitavisha hiyo mitambo kama mnyika alivyo shauri Asubuhi....
 
hapo ndipo nakiri kuwa DOWANS ni mradi wa CCM, tena kamati kuu ya ccm, RA alipewa jukumu la kutafuta chanzo cha pesa maana wakati huo alikuwa mweka hazina wa CM
 
ni ukweli ulio wazi sasa Kamati ya January italizia Dowans kuwashwa soon, masaa mawili yajayo mtapata habari kamili:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:

I wander
 
mnyika is very right, mitamb itaifishwe tu!

Hili lilishasemwa sana. Ni nani mwenye UBAVU huo wa kutaifisha??
Kama president anaongea ongea tu hatoi solid statement unafikiri kuna kitakacho tokea kwenye hili. Sheria iko wazi kwamba ilitakiwa kutaifishwa.

Kilichobaki kwangu ni kwamba wanipatie umeme...
 
Jamani kuizungumzia Bungeni wamesema kuwa haitawezekana kwa kuwa kesi ipo mahakamani!
Kama ni hivyo hakitakiwa kifanyike chochote kwenye suala la downs hadi uamuzi wa mahakama jamani mbona vitu vingine tunajitia matatizoni! mwishowe itakuja kusemekana serikali imechakaza hiyo mitambo kwa hiyo inahitajika fidia ya bilionis. Mi nachoka kabisa na haya maamuzi ya kikuda!
Kuna hiden agenda hapo
 
mh dowans! Dowans! Nafkiria kumpa mtoto wangu atakaezaliwa soon jina la dowans coz atasucceed no matter what kama dowans. Yani tukitumia mitambo yao baaasi tunawalipa hata tuandamane mpaka mbinguni
 
Hii nchi hii yaani Rais hawajui Dowans leo hii wanasema mitambo ya Dowans iwashwe hapo ndio naamini kuwa DOWANS ni mradi wa CCM
 
Hivi nchi inashindwa kabisa kuangalia alternative nyingine zaidi ya hii mitambo ya mafisadi na ya kifisadi?!!
 
Tungoje iwashwe halafu msikie gharama tutakayotakiwa kuilipa DOWANS kwa kuitumia kwa siku hizo, ya kufa mtu! Kama haijawa sawa na kununua mitambo mipya kama hiyo, subiri tuone!! Tanzania ni nchi tajiri sana kwa kila atakaye kuvuna anajivunia, shamba la bibi!!!!
 
sasa kama dowans hawajulikani hata na mr minority president sasa ili kuiwasha wataongea na nani au kwakuwa mwenyewe hajulikani basi tuitaifishe tu kwakuwa wenyewe si wanaikataa......
 
watz kwa hili la dowans tumelogwa na aliyetuloga kafa na hatjui kaburi lake liko wapi! Namkumbuka sana hayati Sokoine (r.i.p), angeshaitaifisha hiyo mitambo zamaani.
Hivi ile sheria ya uhujumu uchumi haitumiki tena Tanzania coz kuna watu wanahitaji kuwa discplined kinyama e.g RA aaagh! Wananiuzi ila we ngoja tu, the day will come watakimbia bila hata nguo za ndani
 
sasa kama dowans hawajulikani hata na mr minority president sasa ili kuiwasha wataongea na nani au kwakuwa mwenyewe hajulikani basi tuitaifishe tu kwakuwa wenyewe si wanaikataa......

Mkataba mwengine huoooooo, tusubiri kesi nyingine tulipe billions. Jamaniiiiiii!!!!!
 
kweli rostam kichwa kaamua kuweka mgoa wa umeme nchi nzima ili mkampigie magoti sasa mnamuomba live muwashe kidogo giza limezidi hadi bungeni watanzania tujipe pole kwa hili

Hivi tutaondokana vipi na mkoloni huyu? Nashangaa sana unapoona wasomi wakiwa wanlamba viatu vya huyu burushi mpaka wanasalimu amri. Kwangu mimi ni bora hilo giza la mwezi mmjoa kuliko kumneemesha huyu mkoloni na swahiba yake.
 
Mitambo ya Dowans ni ya kutaifisha hakuna haja ya kununua wala kukodisha kwani hata serikali ikununua mitambo ya Dowans bado si suruhisho la kuondoa tatizo la mgao wa umeme, machine zitafanya kazi siku moja mbili watasema zimeharibika na wao wanaendelea kulipwa za bure.
Solution ni kungalia chanzo kingine cha umeme na kuhakisha taratibu za kununua na kuanza kuzalisha tayari utafiti na paper zilishaandikwa na wataalamu kwa vyanzo vifiatavyo
1. umeme kwenye bonde la rufiji (stiglas Gourge) hauitaji mvua)
2. umeme wa makaa ya mawe - Kiwira ipo tayari
3. umeme wa upepo
4. umeme wa mkonge

Mkuu, Yule mwandisha wa TBC aliimpa January maelezo kama haya......Jibu la January lilikuwa ni kuwa hii ni mipango ya muda mrefu, na tulipofika hapa inahitajika mipango ya muda mfupi kunusuru hali ya mambo...
...hapa ni kama wanatafuta namna ya kuhalalisha uhuni wa Dowans tu.......maadamu ilishaonekana hii kapun ilirithi mkataba wa kitapeli, solution ilikuwa ni kutaifisha tu!
 
Kuna tetesi kwamba very very soon itawashwa (wako kikaoni sasa).... so is this thing planned?

Yes this thing was planned before.

The picture now is being revealed. Kwamba kwanini Januari Makamba alimtwanga Ngeleja BARUA na hapo hapo kapewa Wenyekiti wa Kamati ya NISHATI NA MADINI. Kwa Great Thinkers hii inaeleleza KUWA DOWANS NI DUDE LILILOSHINDIKANA. DOWANS NI DUDE LA ROSTAM AZIZ AMBALO HALITIKISWI NA MTU YEYOTE LIKO MPAKA IKULU YA JK.

Generators sold for Sh101bn Send to a friend Sunday, 11 April 2010 22:25 digg

mitambodoans.jpg
The Dowans generators at Ubungo in Dar es Salaam. The machines have been sold to a Cyprus-based company for a reported $77 million (Sh101 billion).

By Sadick Mtulya,

The controversial Dowans Tanzania Limited gas turbines have been sold for Sh101 billion to the Cyprus-based Independent Power Corporation (IPC), The Citizen has learnt.

The turbines, with a capacity to produce 112MW, have been sold while there is still a contractual dispute between Dowans and the government.

Last year, Dowans filed an objection in the High Court (Commercial Division) seeking dismissal of the application by Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) to restrain it from selling its assets.

The company came into the country in 2007 after taking over the contract of the disgraced Richmond Development Company, which had failed to deliver after signing an agreement with the government to produce emergency power a year earlier. The contract was terminated by the government in 2008.

IPC executive director Peter Earl said in a statement that the company had already sealed deal with Dowans Tanzania.

Tanesco officials, who did not want to be named because they are not authorised to speak to the media, confirmed that the turbines have been sold for $77 million (about Sh101 billion).

However, reports indicate that Tanesco, which filed a court case seeking to restrain Dowans from disposing of its assets, was not involved in the deal.

Kigoma North MP Zitto Kabwe (Chadema) asked the government to stop Dowans shipping out the machines.

Mr Zitto, who also serves as the chairman of the Public Organisations Accounts Committee (POAC), said the turbines should not be allowed to be taken out of the country because there was a case pending in court.

SOURCE:The Citizen
 
kikao kipo mbioni kumalizika na kamati ya january makambako itatoa taarifa soon, ushindi kwa rostaaaam


Mkuu, January alisema kamati yake itakaa next week na moja kati ya maazimio yake ni kuishawisi kamati yake iishauri serikali kuongea na Dowans wawashe mitambo........Ina maana aliundanganya umma kuwa watakaa next week kumbe wamekaa leo?????
 
watu walilalamika sana kuwa umevunjwa mkataba wa dowans na wanasiasa na hawakushirikisha wanasheria ndo maana tukapigwa ma faini ya ajabu, sasa wanataka kuwasha mitambo ya mtu asiyejulikana ( dowans ) tumewashirikisha wanasheria au maamuzi ya kisiasa tena?
 
khaaa Dowans gani tena..Mbona mwanaichanganya nyie wana !!! Dowans ipi??

jamani ye na kamat yake c wamesema mitambo ya dowans bado mipya tu hivyo wanaishauri serikali iwaombe dowans wazalishe umeme kuondoa crisis ya umeme kwani huwa hamuangalii jambo tz kwenye tv ya chama TBC, ila ni upuuzi etiii jamaniiiiiiiii eti wwashe mitambo ya dowans japo miez mi3
 
Back
Top Bottom