TODO
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 219
- 62
Hakika huyu dogo ni kichwa
anafaa kuwa muwakilishi wa watu.ameamua kuchukua majukumu ya vyama vya ushirika vilivyokufa.ameamuabkuamzisha shirika la maendeleo bumbuli ambapo anasema shirika litakuwa linanunua mazao kwa wakulima kwa bei ndogo na kuhifadhi mazao hayo na badae bei ikipanda shirika litayauza na kuwagawia tena hela wakulima.
anazungumzia tena hoja binafsi yake ya upangaji wa nyumba.pia anatazamia kuleta hoja binafsi kutetea wakopaji wa mikopo hasa kwenye taasisi zisizo pokea deposits Za wateja isipokuwa wao wanakopesha tu.
naendelea kumsikiliza
anafaa kuwa muwakilishi wa watu.ameamua kuchukua majukumu ya vyama vya ushirika vilivyokufa.ameamuabkuamzisha shirika la maendeleo bumbuli ambapo anasema shirika litakuwa linanunua mazao kwa wakulima kwa bei ndogo na kuhifadhi mazao hayo na badae bei ikipanda shirika litayauza na kuwagawia tena hela wakulima.
anazungumzia tena hoja binafsi yake ya upangaji wa nyumba.pia anatazamia kuleta hoja binafsi kutetea wakopaji wa mikopo hasa kwenye taasisi zisizo pokea deposits Za wateja isipokuwa wao wanakopesha tu.
naendelea kumsikiliza