January makamba ndani ya ala za roho ya clouds

kova kiboko kama yuko kama kova basi balaa kwa msaka uwaziri wa nishati na madini huyu
 
Bado yupo? Nimesikiliza akichagua wimbo nikatoka nikaenda kusikiliza Redio Imani. Nasikiliza hadith za ujirani mwema.
 
Anahojiwa na mwanadada lovness love au Diva.MH yupo juu hata kwenye malavidavi.

Hawa vijana wa Maropes wana matatizo fulani, wanapenda attention ya media kuliko kawaida. Hawawezi kwenda sehemu yoyote kama hakuna media. January analipwa fadhila za ufisadi aloifanyia clouds kupitia mgongo wa Ikulu, Sugu Umemalizana na RUGE, Bado zamu ya january kwa maana mchongo mzima wa Malaria No more ulianza na February Maropes
 
Hivi kwanini huyu kijana anakuwa kama vile ana utaahira kama mimi? Nini hasa kinampelekea kuwa na tabia hii? Ushamba? Ush...? Au ni debe tupu analojaribu kulijaza maji? Mbona mwenzake Nape hana tabia hizi? Yani mtu kama Nape akitokea kwenye TV au Radio, hata kama ataongea pumba, wengi wanakimbilia kumsikiliza. Sijui anaiva vipi na Nape, maana inaonyesha anapenda sana ukubwa. Ni bora akasema tu wazi kwamba yeye ni taahira kama mimi kwani mambo yake ni kama yangu, si ya binadamu wa kawaida. Ameshajitia doa, kwa sababu, kama ilivyo mimi, huyu hana akili timamu hivyo hastahili kuwa kiongozi kwa mujibu wa katiba.
 
Bado yupo au kashamaliza? Huyu Jamaa kila sehemu anakaba hadi kwenye mapenzi? Malaria no more yupo,madini yupo,barrick na ushemu yupo,khaaa
 
kova kiboko kama yuko kama kova basi balaa kwa msaka uwaziri wa nishati na madini huyu
Hivi kwanini Nape hamshughulikii huyu? Maana mzee wake ndiye aliyeua CCM Kigoma miaka ya tisini, akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, na kuwainua kina Kaburu wa NCCR ambao nguvu yao ndio imezaa zitto na kafulila. Alifanya ufisadi kwa kumweka muindi kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, na kanjubai Azim Premji ndiye Mwenyekiti CCM hadi leo. Fadhila ikawa kumsomesha kijana wake huyu huku nje baada ya kufutiwa matokeo ya form four Galanos kutokana na kuiba mitihani. Mimi ni Taahira lakini mara nyingine huwa na bahatisha kuja japo na vijineno vyenye ukweli na ushahidi na ukweli huu utamfanya taahira mwenzangu humu kunipiga ban usiku huu huu.
 
Nilimsikiliza nikaona,pamoja na kupata exposure(States) for Master's ,bado communication skills ni a challenging factor kwake,though alisema hajazoea kuulizwa maswali ambayo hana majibu yake tayari..
Na Diva akamwambia ana bahati kwa kuwa kaoa, vinginevyo maswali mazito zaidi angepata..

Akaambiwa achague muziki,akalazimishwa uwe ni R&B... Akasema anaijua mingi ila hajui achague upi kwa muda huo... Akachagua "I'm so into you" wa Tamia. Akauliza anaudedicate kwa nani,akasema kana kwamba anajikanyaga..."kwangu mi mwenyewe.."

Anyway.. Labda ndiyo shida ya u-public figure..
 
Nilimsikiliza nikaona,pamoja na kupata exposure(States) for Master's ,bado communication skills ni a challenging factor kwake,though alisema hajazoea kuulizwa maswali ambayo hana majibu yake tayari..
Na Diva akamwambia ana bahati kwa kuwa kaoa, vinginevyo maswali mazito zaidi angepata..

Akaambiwa achague muziki,akalazimishwa uwe ni R&B... Akasema anaijua mingi ila hajui achague upi kwa muda huo... Akachagua "I'm so into you" wa Tamia. Akauliza anaudedicate kwa nani,akasema kana kwamba anajikanyaga..."kwangu mi mwenyewe.."

Anyway.. Labda ndiyo shida ya u-public figure......
 
Nilimsikiliza nikaona,pamoja na kupata exposure(States) for Master's ,bado communication skills ni a challenging factor kwake,though alisema hajazoea kuulizwa maswali ambayo hana majibu yake tayari..
Na Diva akamwambia ana bahati kwa kuwa kaoa, vinginevyo maswali mazito zaidi angepata..

Akaambiwa achague muziki,akalazimishwa uwe ni R&B... Akasema anaijua mingi ila hajui achague upi kwa muda huo... Akachagua "I'm so into you" wa Tamia. Akauliza anaudedicate kwa nani,akasema kana kwamba anajikanyaga..."kwangu mi mwenyewe.."

Anyway.. Labda ndiyo shida ya u-public figure........
 
Nilimsikiliza nikaona,pamoja na kupata exposure(States) for Master's ,bado communication skills ni a challenging factor kwake,though alisema hajazoea kuulizwa maswali ambayo hana majibu yake tayari..
Na Diva akamwambia ana bahati kwa kuwa kaoa, vinginevyo maswali mazito zaidi angepata..

Akaambiwa achague muziki,akalazimishwa uwe ni R&B... Akasema anaijua mingi ila hajui achague upi kwa muda huo... Akachagua "I'm so into you" wa Tamia. Akauliza anaudedicate kwa nani,akasema kana kwamba anajikanyaga..."kwangu mi mwenyewe.."

Anyway.. Labda ndiyo shida ya u-public figure.........
 
Hivi kwanini huyu kijana anakuwa kama vile ana utaahira kama mimi? Nini hasa kinampelekea kuwa na tabia hii? Ushamba? Ush...? Au ni debe tupu analojaribu kulijaza maji? Mbona mwenzake Nape hana tabia hizi? Yani mtu kama Nape akitokea kwenye TV au Radio, hata kama ataongea pumba, wengi wanakimbilia kumsikiliza. Sijui anaiva vipi na Nape, maana inaonyesha anapenda sana ukubwa. Ni bora akasema tu wazi kwamba yeye ni taahira kama mimi kwani mambo yake ni kama yangu, si ya binadamu wa kawaida. Ameshajitia doa, kwa sababu, kama ilivyo mimi, huyu hana akili timamu hivyo hastahili kuwa kiongozi kwa mujibu wa katiba.


umeamua kujikweza kwa kujilinganisha na watu ukijijua uwezo wako wa akili?????
 
Nilimsikiliza nikaona,pamoja na kupata exposure(States) for Master's ,bado communication skills ni a challenging factor kwake,though alisema hajazoea kuulizwa maswali ambayo hana majibu yake tayari..
Na Diva akamwambia ana bahati kwa kuwa kaoa, vinginevyo maswali mazito zaidi angepata..

Akaambiwa achague muziki,akalazimishwa uwe ni R&B... Akasema anaijua mingi ila hajui achague upi kwa muda huo... Akachagua "I'm so into you" wa Tamia. Akauliza anaudedicate kwa nani,akasema kana kwamba anajikanyaga..."kwangu mi mwenyewe.."

Anyway.. Labda ndiyo shida ya u-public figure.........
 
umeamua kujikweza kwa kujilinganisha na watu ukijijua uwezo wako wa akili?????

Mimi ni taahira, ndio nilivyozaliwa. Nikionekana nina uwezo wa akili, huwa natabasamu na kufarijika sana moyoni. Hiyo ni picha yangu ya kweli, nilipigwa nikiwa na furaha pale wenye akili waliponisifia nimeongea point.
 
Back
Top Bottom