iron finger
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 358
- 220
Anahojiwa na mwanadada lovness love au Diva.MH yupo juu hata kwenye malavidavi.
Anahojiwa na mwanadada lovness love au Diva.MH yupo juu hata kwenye malavidavi.
Hivi kwanini Nape hamshughulikii huyu? Maana mzee wake ndiye aliyeua CCM Kigoma miaka ya tisini, akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, na kuwainua kina Kaburu wa NCCR ambao nguvu yao ndio imezaa zitto na kafulila. Alifanya ufisadi kwa kumweka muindi kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, na kanjubai Azim Premji ndiye Mwenyekiti CCM hadi leo. Fadhila ikawa kumsomesha kijana wake huyu huku nje baada ya kufutiwa matokeo ya form four Galanos kutokana na kuiba mitihani. Mimi ni Taahira lakini mara nyingine huwa na bahatisha kuja japo na vijineno vyenye ukweli na ushahidi na ukweli huu utamfanya taahira mwenzangu humu kunipiga ban usiku huu huu.kova kiboko kama yuko kama kova basi balaa kwa msaka uwaziri wa nishati na madini huyu
Huyu jamaa anapenda sana cheap publicity kama Suleiman Kova.
Hivi kwanini huyu kijana anakuwa kama vile ana utaahira kama mimi? Nini hasa kinampelekea kuwa na tabia hii? Ushamba? Ush...? Au ni debe tupu analojaribu kulijaza maji? Mbona mwenzake Nape hana tabia hizi? Yani mtu kama Nape akitokea kwenye TV au Radio, hata kama ataongea pumba, wengi wanakimbilia kumsikiliza. Sijui anaiva vipi na Nape, maana inaonyesha anapenda sana ukubwa. Ni bora akasema tu wazi kwamba yeye ni taahira kama mimi kwani mambo yake ni kama yangu, si ya binadamu wa kawaida. Ameshajitia doa, kwa sababu, kama ilivyo mimi, huyu hana akili timamu hivyo hastahili kuwa kiongozi kwa mujibu wa katiba.
umeamua kujikweza kwa kujilinganisha na watu ukijijua uwezo wako wa akili?????