Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,270
- 105,441
Mbona unaleta habari za uswazi?jadili hoja sio kudandia mambo ya kipuuzi!
Habari za Uswazi zikoje?
Huyu jamaa anasema mengi kuhusu uongozi wakati kuna habari yeye na familia yake wameomba mamilioni ya dola za Kimarekani kwa ajili ya uchaguzi, kutoka kwa wafadhili wa nje ya nchi wasio Watanzania, huku wakiwaambia wafadhili hao "we are talking about a future energy minister" . Kimsingi shutuma za umalaya wa kisiasa.
Sasa kama kuna allegations hizo, kuna email imeletwa hapa, hatujasikia kukanushwa, sisi tutakuwa vipi kama tutaendelea kuwaamini tu hawa watu kwamba wanafaa?
Utasemaje mie kuuliza response - hata sijasema kwamba habari hii ni ya kweli au la- ni "habari za Uswazi"?