Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Hii skendo ya Juzi ya mwamvita, January awaulize Ridhiwani Kikwete na William Ngeleja. nina uhakika 100%. Wamewania kumporomosha jamaa au kupunguza kasi yake. January take notes here. Adui zako wakubwa waliotumia dada yako ni Ngeleja na Ridhiwani. Kuwa mwangalifu jamaa watakumaliza, na wala usimtafute mchawi mwingine. Hawa ndio wachawi wanaopania kukumalia. Ridhiwani bifu binafsi, Ngeleja wewe kuingilia kazi yake.
Pole mkuu ndo utu uzima na siasa uchwara za Bongo
Riz1 syo baba yako, hacha kuropoka. Riz ni maji marefu hacheni majungu yenu. Kwa lipi amfanyie majungu kilaza January na dada yake. Tafuten ya maana kusema, mbuzi nyie. Mmeajiriwa na nyie nini? Wanakamba wanafaa kutoswa baharini hawafai