Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 210
uzuri wa tovuti, namba ya bure ya kuwasiliana na updates za facebook na twitter hazina maana yoyote kama mtu hawezi kufurukuta japo kwa kauli mbele ya "wababe wa nchi"
mtu yeyote anayeibeba sisiemu na kuisifia hadharani hasa hasa kama mtu huyo kiongozi mi huwa natilia mashaka sana
mtu yeyote anayeibeba sisiemu na kuisifia hadharani hasa hasa kama mtu huyo kiongozi mi huwa natilia mashaka sana