January Makamba: Mbunge wa aina yake

Status
Not open for further replies.
Naona kuna wengi tu miongoni mwa wabunge vijana wanaotumia mtandao vizuri...wengi wana mablogu (Zitto Kabwe Zuberi, Hon. DR. Hamis Kigwangala, Hon. Dr. Faustine Ndugulile na kuna Hon. JJ Mnyika naye anakurasa yake kwenye FB inayopasha watu habari za nini kinachoendelea jimboni kwake.

Labda kama JMagamba amekupa kazi ya kumpromotey hapa jamvini, hana lolote la ajabu 'gamba' huyo, alipata ubunge kwa jitihada za dada Mwamvita Magamba aliyekubali kum-seduce mzungu ili tu wapewe USD 1m kwa ajili ya kampeni[

Ndiyo maana waliliangusha jembe letu Shelukindo
Nime furahishwa sana na style ya uongozi wa January Makamba, mbunge wa CCM akiwakilisha jimbo la Bumburi.

Niliwahi kuona akitoa namba zake (15013) kwa ajili ya wananchi kuwasiliana nae kwa jambo lolote haraka iwezekanavyo (huku ni kuonesha uwajibikaji).

Na hivi karibuni pia nimeona website yake, januarymakamba.com akiongelea mambo mengi, zaidi kuhusu yeye na Jimbo lake.

Well, ni ubunifu mkubwa sana ingawa ni wananchi wa chache sana wa jimbo lake wanaweza ku-access website hiyo na kuona mipango ya maendeleo na jinsi atakavoitekeleza...

Lakini dunia nzima (marafiki zake na wale wanao mfuatilia juu ya uongozi wake ambao hawapo Bumburi) watafurahishwa na jinsi anavyoonesha kufanya kazi na hata kuchangia shughuli za maendeleo huko.

Style yako naipenda, I hope una mengi unayowaza juu ya Tanzania. Fanya sasa tuyaone, umeanza vyema.
 
Huo ni mtego wa kuwapata watu wa nje na kujijengea jina kuwa ana ushawishi mkubwa na pengine ndio ulompelekea kenye huo mkutano, lakini sidhani kuwa ni mtandao kwa ajili ya wananchi wake, wizi mtupu!!!!!
 
Badala ya kujibu hoja za ufisadi wanalia heti Riz1 ndo chanzo cha skandals zao. Wanapouza vitumbua ku-raise campaign funding, Riz1 alikuwepo? alafu Mange Kimambi na kimebelembele chake Aendele aone atakavyopotea . Kutukana watu hovyo kwa sababu tu Blog inafadhilia na Mwamvita na Vodacom. Selemani, Sliding roof. Mwezi wa Kwanza Marope, message delivered.... Pia zimfikie Mwa-war Marope pamoja na Mange Kimambi kimbelembele chake..

Haya bwana. Umeshinda mama. Sio ishu kiiivyo. Kama vipi leteni email zingine tusome.
 
Huyu jamaa kwa namna moja ama nyingine anajitahidi kufanya kile anachoweza kwa maslahi ya umma kama kweli yuko serious..ila njia aliyotumia yeye kwa kusaidiwa na mzee kupata hiyo nafasi haukuwa wa haki kwa kile walichomfanyia mh.shelukindo kule bumbuli.
 
Hakuna mwanaJF asiyejua skendo za Makamba Jr tokea akiwa USA, magogoni na baadae ubunge wa bumbuli. We have to be careful with the said young politicians.

exactly.

Nina mashaka hata kuwa si ridhaa yake kugombea ubunge bali kuna msukumo flani kutoka ktk kundi flani kwa ajili ya maslahi ya baadae.
 
Nilishasema tangu awali kwamba January is a visionary that Tanzania need. Tunamfahamu tangu kule YoungAfrica mpaka hapa Jambo Forum kabla ya jamii forum tulikuwa tunaona why he is different compare to others. Tatizo lake ni kuazaliwa na mzee makamba labda? But other than that the guy is executor and visionary. He forecast things which are beyond normal eyes.

Tunachoendeleza humu ni chuki na majungu na roho mbaya. Wengine humu hatujui hata what this guy is stand for lakini sababu ana jina Makamba in the end of January basi tuna shoot it. We need everybody who is for change, Tanzania need a visionaries, Tanzania need many Zitto and many January.

hebu jaribu kutueleza kuhusu hizo nyaraka hapo mwanzo.
 
Haya bwana. Umeshinda mama. Sio ishu kiiivyo. Kama vipi leteni email zingine tusome.

Wana Makamba wanachukiwa kutokana na tabia zao chafu za ushirikina, uifisadi, kimbelembele na majungu....Heti Rais wa baadae, Rais gani. Ikulu amekaa, alichoacha ni majungu yake kwa kila mtu....VODACOM unajua nini kina endelea, Mwa-war yuko kwenye kila kitu. Ms. Vodacom Africa; Marketing yeye, PR yeye, communiity Service yeye. Spokesperson yeye, kila kitu yeye kwa nini na kwa ujuzi gani? Jiulize, nasahau mtoto wa nyoka ni nyoka!

1. Chini ya miaka mitatu, mtu kavuka hadi Executive Director kazi ya maana aliyofanya hakuna. Kuna wangapi wamevukwa kwenye foleni ?
2. Chini ya Miaka sita, Kilaza fulani kawa msaidizi wa Rais (muandika hotuba feki aliyefutiwa mtihani) kawa mbunge bila kupingwa, mwenyekiti kamati ya bunge, katibu mambo ya nje, fisadi malaria nomore na Barrick gold etc... kwa nini na wangapi walipitwa kwenye foleni?

Majungu kila sehemu na Riz1, Ngeleja nk....mnachukiwa kutokana na tabia zenu it is not about anything else. Tunajua kwamba ni Mwezi wa Kwanza ndo aliyempa ama Shelukindo zile nyaraka. Ni yeye ndo alipeleka kwa Dr wa Ukweli zile documents za kifisadi za Riz1 na kila siku anamuandama Ngeleja wakati yeye uchafu kibao. Kila thread inayohusu Ikulu humu ni nani? Waliokula pesa za Website ya ikulu unawajua Mr. Mwezi wa Kwanza Marope? habari ndo hiyo. alafu mbaya zaidi anakuja kuanzisha threads hapa JF na kuanza kulumbana na watu...Khaaaa.... huyu mzee ana mbegu mbaya kweli

Dawa ni mageuzi ya kweli na wana Marope wote watatafuta andaki ya kujifichia
 
Wana Makamba wanachukiwa kutokana na tabia zao chafu za suhirikina, uifisadi, kimbelembele na majungu....Heti Rais wa baadae, Rais gani. Ikulu amekaa, alichoacha ni majungu yake kwa kila mtu....VODACOM unajua nini kina endelea, Mwa-war yuko kwenye kila kitu. Ms. Vodacom Africa; Marketing yeye, PR yeye, communiity Service yeye. Spokesperson yeye, kila kitu yeye kwa nini na kwa ujuzi gani? Jiulize, nasahau mtoto wa nyoka ni nyoka!

1. Chini ya miaka mitatu, mtu kavuka hadi Executive Director kazi ya maana aliyofanya hakuna. Kuna wangapi wamevukwa kwenye foleni ?
2. Chini ya Miaka sita, Kilaza fulani kawa msaidizi wa Rais (muandika hotuba feki aliyefutiwa mtihani) kawa mbunge bila kupingwa, mwenyekiti kamati ya bunge, katibu mambo ya nje, fisadi malaria nomore na Barrick gold etc... kwa nini na wangapi walipitwa kwenye foleni?

Majungu kila sehemu na Riz1, Ngeleja nk....mnachukiwa kutokana na tabia zenu it is not about anything else. Tunajua kwamba ni Mwezi wa Kwanza ndo aliyempa ama Shelukindo zile nyaraka. Ni yeye ndo alipeleka kwa Dr wa Ukweli zile documents za kifisadi za Riz1 na kila siku anamuandama Ngeleja wakati yeye uchafu kibao. Kila thread inayohusu Ikulu humu ni nani? Waliokula pesa za Website ya ikulu unawajua Mr. Mwezi wa Kwanza Marope? habari ndo hiyo. alafu mbaya zaidi anakuja kuanzisha threads hapa JF na kuanza kulumbana na watu...Khaaaa.... huyu mzee ana mbegu mbaya kweli

Dawa ni mageuzi ya kweli na wana Marope wote watatafuta andaki ya kujifichia
Duh. Kwa hiyo wewe umeamuaje sasa baada ya kujua haya yote?
 
Duh. Kwa hiyo wewe umeamuaje sasa baada ya kujua haya yote?

Dawa ni mageuzi. tumechoka na hii tabia. Kizuri zaidi hawa wana marope wangetulia kidogo, pengine watapendwa na wananchi. Kwa nini wachukiwe kila kona? Nadhani January angeongea na mdogo wake wa kike apunguzi spidi. yeye ndo anayemwaribia January kwa 90% ukweli ndo huo. Kama ni executive Vodacom, afanye kazi zake kwa ukimya. Kuna CEO's kibao ambao wanafanya kazi zao kwa ukimya, lakini yeye kimbelembele kila kona? Alafu sasa mnamtumia danguro mange kutishia watu, wakati hajui anamtishia nani... Mange is on wanted list, just a matter of time. I pity January, he need to read some comments here and take them constructively.

Akumbuke kwamba elimu yake ni courtesy ya mzee mkapa. Bila mkapa na baba yake kupiga magoti asingekuwepo hapo alipo. Sasa hivi anajijengea maaadui lukuki. Unadhania Lowassa na Rostam watakulinda siku zote? kwanza haujui unaongea na nani anayejua habari gani na kuna mkakati gani dhidi ya matendo yenu.. read rcarefully. Kla kitu mnaita CHADEMA. Siyo Chadema. Ni CCM wanaojua habari zenu na wanawaangalia na Darubini....CITADEL kutoka Egypt bado, subiri bomu litlipuliwa na yle masikini shemeji mzungu aliyejenga nyumba matokeo yake anataka kutimiliwa.
 
...kwa style ya mawazo kama ya mtoa hoja, naona Tz bado tuna safari ya miaka 1,000 kuamka!

Ee Mola lione Taifa lako huku mitaa ya Afrika Mashariki.
 
Nime furahishwa sana na style ya uongozi wa January Makamba, mbunge wa CCM akiwakilisha jimbo la Bumburi.

Niliwahi kuona akitoa namba zake (15013) kwa ajili ya wananchi kuwasiliana nae kwa jambo lolote haraka iwezekanavyo (huku ni kuonesha uwajibikaji).

Na hivi karibuni pia nimeona website yake, januarymakamba.com akiongelea mambo mengi, zaidi kuhusu yeye na Jimbo lake.

Well, ni ubunifu mkubwa sana ingawa ni wananchi wa chache sana wa jimbo lake wanaweza ku-access website hiyo na kuona mipango ya maendeleo na jinsi atakavoitekeleza...

Lakini dunia nzima (marafiki zake na wale wanao mfuatilia juu ya uongozi wake ambao hawapo Bumburi) watafurahishwa na jinsi anavyoonesha kufanya kazi na hata kuchangia shughuli za maendeleo huko.

Style yako naipenda, I hope una mengi unayowaza juu ya Tanzania. Fanya sasa tuyaone, umeanza vyema.

Atafanyaje sasa wakati kazungukwa na magamba?

Naomba nimnukuu Mbowe alivyomueleza January bungeni ..."January Makamba huwezi kuongea ukasikika wala kutenda ukafanikiwa ukiwa huko, njoo huku tuunganishe nguvu tupambane"...
 
Dawa ni mageuzi. tumechoka na hii tabia. Kizuri zaidi hawa wana marope wangetulia kidogo, pengine watapendwa na wananchi. Kwa nini wachukiwe kila kona? Nadhani January angeongea na mdogo wake wa kike apunguzi spidi. yeye ndo anayemwaribia January kwa 90% ukweli ndo huo. Kama ni executive Vodacom, afanye kazi zake kwa ukimya. Kuna CEO's kibao ambao wanafanya kazi zao kwa ukimya, lakini yeye kimbelembele kila kona? Alafu sasa mnamtumia danguro mange kutishia watu, wakati hajui anamtishia nani... Mange is on wanted list, just a matter of time. I pity January, he need to read some comments here and take them constructively.

Unaposema wanachukiwa kila kona, u mean in Jamii Forum? anyways, to each on his own bhana. To me, kama mdau wa JF kwa muda mrefu, humu ndani watu wako obsessed tu na Makambas. Which is telling.

Lakini sio ishu kiiivyo, at the end of the day each and every one of us ana matatizo kibao nyumbani kwake. Haya mambo ya kutoleana mapovu online kwa sababu ya Mwamvita/January Makamba hayana tija. So Uhuru 1 mama, wewe endeleza crusade yako hapa, kila la kheri. Hopeful your message will stick.
 
Unaposema wanachukiwa kila kona, u mean in Jamii Forum? anyways, to each on his own bhana. To me, kama mdau wa JF kwa muda mrefu, humu ndani watu wako obsessed tu na Makambas. Which is telling.

Lakini sio ishu kiiivyo, at the end of the day each and every one of us ana matatizo kibao nyumbani kwake. Haya mambo ya kutoleana mapovu online kwa sababu ya Mwamvita/January Makamba hayana tija. So Uhuru 1 mama, wewe endeleza crusade yako hapa, kila la kheri. Hopeful your message will stick.
Deliver message kwa January kwamba, wasiwe kwenye denial. Wangejitizama kwenye Taswira na kama kuna doha usoni, waliondoe badala ya kusema hakuna doa wakati wanaliona. January aspoangalia, Mwamvita anamwangusha na kumuaibisha vibaya sana. Viongozi wengi wa juu wanamsema sana vibaya huyu dada kutoknana na tabi ya kulala hovyo ili apate anachotaka.

Hata kama barua iliyotumwa mtaiita feki, lakini ukweli ni kwamba, Mwamvita anayo hiyo tabia. Wewe mtu anazunguka na Mange, Kiki, Bijoux unategemea nini? January you know this. Hata kama unajiona mtu safi, tabia ya dadako kukuletea vitumbua ni mbaya. Unajua amenijaribu ili unilale?
 
Nime furahishwa sana na style ya uongozi wa January Makamba, mbunge wa CCM akiwakilisha jimbo la Bumburi.

Niliwahi kuona akitoa namba zake (15013) kwa ajili ya wananchi kuwasiliana nae kwa jambo lolote haraka iwezekanavyo (huku ni kuonesha uwajibikaji).

Na hivi karibuni pia nimeona website yake, januarymakamba.com akiongelea mambo mengi, zaidi kuhusu yeye na Jimbo lake.

Well, ni ubunifu mkubwa sana ingawa ni wananchi wa chache sana wa jimbo lake wanaweza ku-access website hiyo na kuona mipango ya maendeleo na jinsi atakavoitekeleza...

Lakini dunia nzima (marafiki zake na wale wanao mfuatilia juu ya uongozi wake ambao hawapo Bumburi) watafurahishwa na jinsi anavyoonesha kufanya kazi na hata kuchangia shughuli za maendeleo huko.

Style yako naipenda, I hope una mengi unayowaza juu ya Tanzania. Fanya sasa tuyaone, umeanza vyema.

Vipi issue yake na Barrick si ndio anawatumikia?
 
Hii nchi inatia huruma huyu aliyesomeshwa na mafisadi sasa anapata vyeo kutumia mafisadi na anataka kuwa rais 2025 waakti atapoachiwa na mafisadi waliomlea wallahi! hawa jamaa wanataka kujenga tabaka la uongozi na uchumi nchi hii, watoto wa wakulima na wafanyakazi kushika hata udiwani ni marufuku! tena!
 
Naona kuna wengi tu miongoni mwa wabunge vijana wanaotumia mtandao vizuri...wengi wana mablogu (Zitto Kabwe Zuberi, Hon. DR. Hamis Kigwangala, Hon. Dr. Faustine Ndugulile na kuna Hon. JJ Mnyika naye anakurasa yake kwenye FB inayopasha watu habari za nini kinachoendelea jimboni kwake.

Labda kama JMagamba amekupa kazi ya kumpromotey hapa jamvini, hana lolote la ajabu 'gamba' huyo, alipata ubunge kwa jitihada za dada Mwamvita Magamba aliyekubali kum-seduce mzungu ili tu wapewe USD 1m kwa ajili ya kampeni[

Ndiyo maana waliliangusha jembe letu Shelukindo

Najua "blog" za wote hao,...
lakini nimeona kitu tofauti ndani ya "website" ya Makamba.

Sijui kama unaweza ona hata tofauti ndogo tu
(kwa matamshi) kati ya "blog" na "website"?
 
Hivi wana JF nawaomba tuwe tunafikiri mpaka mwisho,kwani kuongea ndo kutenda?na kwanza kipi kinawashawishi haraka hivyo kusema Makamba is running on the right track?na je mnasahau kama ni mbunge kupitia CCM-Magamba?binafsi siamini kama kuna mbunge mtetea wanyonge,wavuja jasho watanzania na mpigania haki na mali za umma kwa maana ya kuupinga ufisadi akatoka ccm.siamini kama kuna mbunge kutoka ccm ambae si mnafiki na mwenye kujipendekeza na asieendekeza njaa.hivi kweli January Makamba anaweza kusimamia jambo na hata akadiriki kukikana chama au kuwakana wabunge wenzake na kuiitikia sio mjengoni?hivi kweli anaweza akasimamia kuwawajibisha mafisadi,hebu tufikiri jambo moja,je anaweza akasimamia jambo ambalo chama chake kinalipinga au kinawakandamiza watanzania na yeye akapinga hadharani na hata akachukua maamuzi ya kuachana na chama ili mradi tu atetee ukweli?
Na je kelele za bungeni na majukwaani ndo vitendo,kitu bora maneno yasitengwe na vitendo kwenye mambo yenye masilahi kwa taifa.ni mapema sana kuzungumza uwezo wa January Makamba leo hii.
Naomba tuyachunguze mambo haya
 
Huu mtindo wa baadhi ya wana-JF kujigeuza ma-kampen meneja wa baadhi ya Mafisadi, insikitisha sana. Guys, you have really gone so low on this.

Najua "blog" za wote hao,...
lakini nimeona kitu tofauti ndani ya "website" ya Makamba.

Sijui kama unaweza ona hata tofauti ndogo tu
(kwa matamshi) kati ya "blog" na "website"?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom