Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Mhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nani kamsukuma Waziri Ngeleja nje ya mistari stahiki, achilia mbali matatizo anayokumbana yano kwenye wizara hiyo, na kwa nini sasa na si miezi kadhaa ha po nyuma? Naona hapo kwenye red majibu anayo huyu ambaye yuko bize kukibiza ONE MILLION DOLLAR EMAIL kila inapotundikwa hapo ukutani.
Cha msingi hawa ZK na JM waihurumie taifa badala ya hizo tamaa na ndoto za urais na uwaziri mkuu unaowakimbiza hovyo kiasi hicho. Ila wakibisha juu ya madai hayo ya juu juu hapo ubaoni kuhusu masuala GESI YETU NA MIRADI YAKE KIBAO basi wategemee uvundo woooote nje.
Narudia, wahurumie taifa kwani maumivu ya DOWANS wanayoitetea yanatoshaaaaaa!!!!!!!!!!!
Nani kamsukuma Waziri Ngeleja nje ya mistari stahiki, achilia mbali matatizo anayokumbana yano kwenye wizara hiyo, na kwa nini sasa na si miezi kadhaa ha po nyuma? Naona hapo kwenye red majibu anayo huyu ambaye yuko bize kukibiza ONE MILLION DOLLAR EMAIL kila inapotundikwa hapo ukutani.
Cha msingi hawa ZK na JM waihurumie taifa badala ya hizo tamaa na ndoto za urais na uwaziri mkuu unaowakimbiza hovyo kiasi hicho. Ila wakibisha juu ya madai hayo ya juu juu hapo ubaoni kuhusu masuala GESI YETU NA MIRADI YAKE KIBAO basi wategemee uvundo woooote nje.
Narudia, wahurumie taifa kwani maumivu ya DOWANS wanayoitetea yanatoshaaaaaa!!!!!!!!!!!
Mkuu UT mara nyingi posti zako hazina tabia ya kuzunguka mbuyu lakini kwa nini unafanya hivyo leo, tuweke wazi kuhusu unalolijua juu ya wanasiasa hao wawili ZK na JM wananini nyuma ya pazia na Tanzania tunayoita???????