support wpn
Senior Member
- Dec 30, 2011
- 151
- 12
wenye nyumba wamezidi kutunyanyasa sie wapangaji, kama kutakuja kuwa na sheria kama hii jeuri ya wenye nyumba mjini zitakwisha
Hujaona kila kitu kimepanda bei, kivuko kgmboni, kiberiti hadi chumvi!!? Sasa ww na makamba wako mmeona wenye nyumba tu?
Nini kinakushangaza kwa mtu kukocopy kitu achia mbali hoja. Kuna vitu vingap vya kipuuzi tumecopy??unashangaa nn mtu kucopy kitu cha msingi kama hicho???wewe bado unakaa kwa shemeji nini??Hakuna jipya, upuuzi tu. Hana lolote la maana katika hoja yake, kaikopi ile ya Texas...
Hakuna jipya, ****** tu. Hana lolote la maana katika hoja yake, kaikopi ile ya Texas...