Sikwepeshi
Senior Member
- Jan 26, 2012
- 162
- 18
Mh January Makamba mbunge wa Bumbuli (CCM) amepanga kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusu upangaji wa nyumba, jinsi gani wapangaji wanavyopata wakati mgumu, kiasi gani madalali wamekuwa chanzo cha kupanda ovyo kwa bei za nyumba.
Ni kweli serikali inatakiwa iweke sheria za kumlinda mpangaji.
Big up January!
Ni kweli serikali inatakiwa iweke sheria za kumlinda mpangaji.
Big up January!