hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Nadhani mtoa kauli hajui anaishi zama zipi za kisiasa. Atakapong'amua hilo itakua too late kwake.
Makamba kawaambia siri toka NEC kwamba CCM haita achia madaraka mwaka 2015 ina maana wamejiandaa kukataan kushindwa ? Makamba kasema neno tata mno hili .CCM wana plan nini ?
Baba yake alimwachia yeye atawaachia wanae sasa sisi ambao hatuna majina ya Makamba kwisha habari yetu!!!! Vijana wengi wanakimbia usultani na wizi uliokidhiri ndani ya ccm
January Makamba amerudia ile kauli yake ya kuudhi kuwa eti ni Ndoto kwa CCM kuondoka madarakani 2015! Inamaana yeye anawaamulia watanzania au? Hiki kiburi cha viongozi wa CCM lazima kikomeshwe! Amesema hayo leo Bungeni jioni, bado anaendelea kubwabwaja TBC1
Nikweli dada Wingu tumemisi mapozi yakoUkweli unauma sana
Ndugu wadanganyika mbele yenu ni kampuni ambayo juzi bungeni mh.ben membe amesema imefanya kazi nzuri sana[refer sunday citizen 12 nov page i and 2]
Ndio ndugu zangu ni kazi nzuri ambayo hadi sasa imewawezesha kulipwa kiasi kidogo tu cha pesa za wadanganyika 40millions usd..kutokana na mkataba walioingia na hazina wa ku audit mining firms,kumbukeni mkataba wetu na migodi inatulipa mradaba [royality] ya 3% ya mapato ya madini na hawa waheshimiwa serikali inawalipa 1.7% ya mapato tunayopata kwenye madini kutoka na kazi yao nzuri ya ku audit madini yetu.
ofisi za hawa jamaa zipo masaki ,na wapo kama 7 hivi wanapiga mzigo,so unaweza ukaangalia na kiasi wanachoingiza....what a fortune?? lazima bongo kwao wanaiona ni new york.
Naona wabunge kwenye kikao last friday wamewashukia kama mwewe,wanatuzuga au hawakujua au ndio siasa za bongo.wajameni hawa alex stewart ni kina nani?