Baba yake alimwachia yeye atawaachia wanae sasa sisi ambao hatuna majina ya Makamba kwisha habari yetu!!!! Vijana wengi wanakimbia usultani na wizi uliokidhiri ndani ya ccm
Anafikiri kwasababu ananyoa zungu la unga ndio ataupata urais naona ban inaninyemelea
Nami nimestuka sana na kauli yake nzito sana sana!!aulizwe ili afafanue maana nasikia ameandaliwa for 2025 awe President
Hata wale abiria waliokuwa ndani ya Titanic hawakuamini kuwa inaweza siku moja kugonga mwamba wa barafu na kuzama.
ccm haiwezi kupona kwa yeye kuwa na ubunge wa 'kupita bila kupingwa/kuchaguliwa' kwenye nchi iliyo na mfumo wa kupigiana kura.Baba yake alimwachia yeye atawaachia wanae sasa sisi ambao hatuna majina ya Makamba kwisha habari yetu!!!! Vijana wengi wanakimbia usultani na wizi uliokidhiri ndani ya ccm
January kama na wewe unaogopa kivuli cha vijana ,kaa usubiri moto,hao hao vijana ndio watawang'oa CCM yenu!labda mtumie dola kuwarudisha madarakani maana usemi wako unatisha kidogo,hamuwezi kuachia dola?kivipi?kama kura zenu hazijatosha mtafanyaje??hiyo ndio siri ya CC yenu?basi mmeshaua demokrasia!