mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
Naona ataandika barua nyingine ili izidi kumuweka juu tena kwenda wizara ya nishati na madini. Sitashangaa akipigwa chini.
hata mi ningekua mbunge ningetaka hii wizara. hamna wizara yenye pesa ka hii, ngeleja ni billionea kwa sababu ya hii wizara.izza: