Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
1. sasa anawaomba wasichukue au anawaamuru? Yeye kama mwenyekiti hawezi kuwakataza au kuzirudisha hizo hela? Mbona siasa bado nyingi?
Atoe tamko la kuwakataza...end of story. Na wakikataa je?
2. Ina maana Tanesco walikuwa wanawalipa wabunge katika trip za kwenda kuwakagua? Je na hizo kamati nyingine vipi?
Mbona naanza kukosa imani na wabunge wengine including Zitto na Slaa waliokuwa wakiongoza kamati!!
Atoe tamko la kuwakataza...end of story. Na wakikataa je?
2. Ina maana Tanesco walikuwa wanawalipa wabunge katika trip za kwenda kuwakagua? Je na hizo kamati nyingine vipi?
Mbona naanza kukosa imani na wabunge wengine including Zitto na Slaa waliokuwa wakiongoza kamati!!