WanaJF, kwenye gazeti la Guardian la jana Mh. January Makamba aliandika makala yake ya kujitetea dhidi ya mtazamo wa mwandishi wa habari aliyesema si vizuri kwa yeye kuingilia TCRA.
Katika kuhitimisha makala yake akajiweka kundi moja na Hayati Moringe Sokoine na Mh. Mrema katika utendaji wao serikalini.
Swali ni je anafanana na watu hao kiutendaji au ndoo yale ya kutaka kujua watu wanamfikiriaje yeye?