Nilisikitishwa sana na muongozo aliouomba January Magamba! najua ni mpango aliousuka yeye na mafisadi wenzake ili kuhujumu jitihada za wazalendo wanao pigania usawa katika taifa hili. najua yeye anasema anajua mengi ndio maana hachongi ila kuna ambao hawajui mengi ndiyo maana wanachonga! naomba nimwambie ukweli nilisikitika sana alipojidai anauliza swali huku akijinafikisha lengo lake ni kuweka umoja katika bunge na kuwafanya wabunge kuwa wamoja.
Namwambia Janary Magamba niliamini yeye alikuwa tofauti sana na Baba yake Mzee Magamba lakini nimejiridhisha hana tofauti hata kidogo na baba yake. Ni kweli tunda huanguka chini ya mti, kwa haya sina imani tena naye na ajue hakuna siku atakaa aaminike hata kama atatumia kigezo cha viongozi vijana yeye sii role model yetu tena na najiandaa kwenda kuwaelimisha wananchi jimboni kwake naamini mchango wangu utasaidia kumfanya akose huo ubunge kwani ni msaliti mkubwa kwa watanzania.
Namwambia Janary Magamba niliamini yeye alikuwa tofauti sana na Baba yake Mzee Magamba lakini nimejiridhisha hana tofauti hata kidogo na baba yake. Ni kweli tunda huanguka chini ya mti, kwa haya sina imani tena naye na ajue hakuna siku atakaa aaminike hata kama atatumia kigezo cha viongozi vijana yeye sii role model yetu tena na najiandaa kwenda kuwaelimisha wananchi jimboni kwake naamini mchango wangu utasaidia kumfanya akose huo ubunge kwani ni msaliti mkubwa kwa watanzania.