Ndio maana aliforce William Ngeleja aingie kwenye baraza la mawaziri kama waziri wa nishati na madini kwa nguvu zote maana ni kijana wake na amemuweka kwa maslahi yake zaidi na si ya nchi JK inabidi aonyeshe uungwana kumfukuza kazi huyu dogo hatufai kabisa
Ngeleja hana shida yoyote so far ni mtendaji mzuri. Angalia mengi aliyoyafanya tangu aingie hapo! usiangalie kuwa kabla ya hapo alikuwa wapi. Kila kijana aliyeko kwanye siasa kuna sehemu ameanzia. Tuangalie Ngeleja je kuna maamuzi ameyafanya ya kumpa favour RA? Kwangu mimi hakuna! Lakini kama ni maoni yangu jamaa anachapa kazi sema nchi yenyewe ndiyo hii ambaye hata mwenye nchi mwenyewe anaiangalia tu jinsi alivyoicomplicate mwenyewe!!!