Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Sasa hivi mdahalo wa wagombea ubunge vijana unaendela "live" hapo EATV na Januari Makamba yumo kinyume cha maagizo ya baba yake Bosi wa CCM kuwa CCM haitahudhuria midahalo hiyo! Hili sakata linanikumbusha kitabu cha "animal farm."
Some animals are more equal than others