Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kwa miaka takribani 50, CCM/TANU/ASP imekuwa mwanafunzi mzuri wa ukoloni wa mwingereza wa kugawa raia ili kuwatawala. Mkoloni alitugawa kwenye makundi ya udini na ukabila kwa kutumia peremende na dola katika kututhibiti na CCM sasa imekuwa gwiji kwenye hiyo taaluma ya kidhalimU. Hii amani CCM inayoiongelea ni ya kwenye majukwaa tu ya siasa lakini haitoki moyoni na wala haiko kwenye vitendo vyake.
Sasa hivi CCM imetugawa kwenye makundi ya udini, kimapato na kikabila ili kuendeleza ubabe wake wa kututawala.
Lakini historia yatufunza ya kuwa penye dhuluma mkombozi Mwenyezi Mungu atatutafutia na kwetu Dr. Slaa ndilo chaguo la Mwenyezi Mungu mwenye rehema kebekebe...........
CHAGUA DR. SLAA............CHAGUA CHADEMA ILI KAZI YA UJENZI WA TAIFA IANZE
Sasa hivi CCM imetugawa kwenye makundi ya udini, kimapato na kikabila ili kuendeleza ubabe wake wa kututawala.
Lakini historia yatufunza ya kuwa penye dhuluma mkombozi Mwenyezi Mungu atatutafutia na kwetu Dr. Slaa ndilo chaguo la Mwenyezi Mungu mwenye rehema kebekebe...........
CHAGUA DR. SLAA............CHAGUA CHADEMA ILI KAZI YA UJENZI WA TAIFA IANZE